Huyo liverpool nafasi ya nne ataitafta kwa tochi
Wametumia misimu minne kwa nguvu kubwa sana wachezaji wao wamechoka na walivobeba ubingwa tambua timu zote 19 zinaenda kwa kuwa pania wao
Mf ni spurs ya msimu uliopita ilivkuwa mbovu sababu wametumia misimu mnne kwa nguvu sana