mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 95,822 Reaction score 136,693 Nov 16, 2014 #21 wanyama wakali hao.. mpingauonevu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Chivundu Platinum Member Joined Dec 17, 2012 Posts 12,932 Reaction score 25,476 Nov 16, 2014 #22 Dragunov ni mashine hatari inapiga nne kwa wakati mmoja. Japo unaweza iseti ikapiga moja yenye nguvu mpaka m1000. Ni hatari
Dragunov ni mashine hatari inapiga nne kwa wakati mmoja. Japo unaweza iseti ikapiga moja yenye nguvu mpaka m1000. Ni hatari
The Hunter JF-Expert Member Joined Dec 25, 2010 Posts 1,049 Reaction score 307 Nov 16, 2014 #23 Kinachotuponza wabongo, bado tunaamini katka dunia shwari, wakati watu wabaya wapo nje wakisubiri muda tuu. Hakuna ubaya kujua sayansi ya silaha maana ipo siku utaiitaji na hutakuwa na idea na unachokitaka
Kinachotuponza wabongo, bado tunaamini katka dunia shwari, wakati watu wabaya wapo nje wakisubiri muda tuu. Hakuna ubaya kujua sayansi ya silaha maana ipo siku utaiitaji na hutakuwa na idea na unachokitaka
kidadari JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 8,646 Reaction score 9,622 Nov 16, 2014 #24 Hiyo namba 3 us dolla 4000 duuh!
lonewolf ranger JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 476 Reaction score 149 Nov 16, 2014 #25 aloycious said: Dragunov ni mashine hatari inapiga nne kwa wakati mmoja. Japo unaweza iseti ikapiga moja yenye nguvu mpaka m1000. Ni hatari Click to expand... mkuu mi naikubali sana barrett inauwezo hata wa kuharibu engene ya gari!
aloycious said: Dragunov ni mashine hatari inapiga nne kwa wakati mmoja. Japo unaweza iseti ikapiga moja yenye nguvu mpaka m1000. Ni hatari Click to expand... mkuu mi naikubali sana barrett inauwezo hata wa kuharibu engene ya gari!
Chivundu Platinum Member Joined Dec 17, 2012 Posts 12,932 Reaction score 25,476 Nov 17, 2014 #26 lonewolf ranger said: mkuu mi naikubali sana barrett inauwezo hata wa kuharibu engene ya gari! Click to expand... Sawa mkubwa,lakini mkuu wa kitengo cha ujasusi wa Islael mosad aliwahi sema kwa kwa shabaha na accuracy Drug ina 99.99%. hatari sana hiyo mambo.
lonewolf ranger said: mkuu mi naikubali sana barrett inauwezo hata wa kuharibu engene ya gari! Click to expand... Sawa mkubwa,lakini mkuu wa kitengo cha ujasusi wa Islael mosad aliwahi sema kwa kwa shabaha na accuracy Drug ina 99.99%. hatari sana hiyo mambo.
fakenology JF-Expert Member Joined May 3, 2012 Posts 1,002 Reaction score 673 Nov 20, 2014 #27 Kwa mini na sisi bongo zisiuzwe madukan kama bodaboda. Maana kuna watu was escrow wanarembwa sana na serikal. Ukiwanayo unawapoteza bila ushahid
Kwa mini na sisi bongo zisiuzwe madukan kama bodaboda. Maana kuna watu was escrow wanarembwa sana na serikal. Ukiwanayo unawapoteza bila ushahid
kichakaa man JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 5,497 Reaction score 5,197 Sep 2, 2017 #28 Duh hizo rifle ni shida Sent using Jamii Forums mobile app