makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,143
- 81,019
Kama kuna asali na mafuta ya ukweli basi watawale milele tu, sio hawa wa huku kwetu wanatuletra udiktekta uchwara hakuna cha asali wala mafuta ni mwendo wa kupita pekupeku kwenye kichochoro cha mbigili..Lakini pia siyo sahihi kuwashabikia ma DICTATOR kwa namn yeyote Ile. Kisa asali na mafuta !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jaribu kusoma kidogo, hii dunia imejaa propaganda kuliko maelezo. Kuna wale wengine wanalazisha ushoga kisa tu wanawapa watu misaada..Hapo ndo ingekuwa msala...hivi kwanini hii dini inapenda kulazimisha kila mtu awe kama wao?
Kama dini yako ni ya haki na ukweli komaa nayo mwenyewe usilazimishe tufanane!
Mbona upande mwingine haufosi watu wale kuhamia kwao!
Kutakuwa na shida mahali kwenye hii Dini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu wa jiwe hauwez kuwa bora sababu chorus na verse vitu viwili tofauti, huwa nafananisha km wimbo wa young dee bongo bahati mbaya. Huku anasema kuibiwa basi huku CAG anafichua wizi mkubwa..Kwa hio utawala wa jiwe wa kubana pesa +ufisadi mkubwa ni bora kuliko ule wa kikwete wa demokrasia kiasi na mipesa nje nje ?
Ewaaa!! Uko sawa kabisa mkuu, sasa km ni utaratibu wao basi hawapaswi kuingilia taratibu za wengine.
Kwanini kila kitu mnasema ni mabeberu wamesababisha?
Hapo ndo ingekuwa msala...hivi kwanini hii dini inapenda kulazimisha kila mtu awe kama wao?
Kama dini yako ni ya haki na ukweli komaa nayo mwenyewe usilazimishe tufanane!
Mbona upande mwingine haufosi watu wale kuhamia kwao!
Kutakuwa na shida mahali kwenye hii Dini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli!Na uhuru wameupata maana siku hizi wanapiga mbizi kwenda nchi mbalimbali.Mkuu binadamu kaumbwa kuwa huru....iwapo Mwenyezi Mungu katupa uhuru wa kumwabudi yeye au laa hivyo Basi hakuna binadamu atakaye mnyima mtu uhuru akabakia salama?!!....Gadafi alifanya mengi mazuri kosa ni kuwanyima uhuru watu wake.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ma DICTATOR hawa wasipopigiwa kelele, watakula nyama za watu. Bokassa ni mfano wao. Waafrika sisi bado taratibu zetu si imara, zinategemea na personality ya kiongozi badala ya taasisi imara za kuongoza umma.Ewaaa!! Uko sawa kabisa mkuu, sasa km ni utaratibu wao basi hawapaswi kuingilia taratibu za wengine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa siwazungumzii hawa madiktekta uchwara, hawa wanaotuambia sasa ni mwisho wa kuibiwa kumbe wao ndio wanaiba zaidi, wanaimba asali jukwaani wakati kiuhalisia wadanganyika wanalambishwa uji uliokosa hata chumvi..Sisi ma DICTATOR hawa wasipopigiwa kelele, watakula nyama za watu. Bokassa ni mfano wao. Waafrika sisi bado taratibu zetu si imara, zinategemea na personality ya kiongozi badala ya taasisi imara za kuongoza umma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Korea kaskazini basi ukamshauri Kim.Jr huyo mtu alikuwa great man. Lakini hili neno analolikataa Ndugai "dhaifu" ina kila moja . Gaddafi alitakiwa kujua ya kuwa anawaongoza wanaadamu wenye utashi mbali mbali. Alitakiwa aweke utaratibu mzuri wa kurithishana madaraka . Toka kiongozi moja hadi mwingine na toka chama kimoja hadi kingine.
Tatizo la Africa ni viongozi walioko madarakani kujiona mamiunguwatu watu wasiotaka mawazo mbadala au uongozi mbadala . Na kwa hili hata kwetu hatuko vizuri . Africa viongozi wetu wajifunze kuwaheshimu wanaowaongoza. Huwezi kukaa madarakani miaka 42 halafu ukataka mwanao aendelee baada kuondoka kwako.
Watachoka hata kama unawapa asali kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaisoma namba! Nchi imekua hovyo yaani serikali mbili inatawala nchi mmoja (Tripoli based government Vs Benghazi government/General Haftar )Niliona mama mmoja analalamika kwa machungu na majuto namna wazungu walivyowalaghai wana Libya wanajuta mnooi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuandika kama hivi; wenye umri kuanzia miaka 47 kwenda mbele wanaweza kukumbuka mambo ya JK Nyerere, ingawa Tanzania ilikua masikini sana lakini hopsitali ilikua bure, shule zote kuanzia msingi hadi chou ilikua bure, tena wanafunzi walikua hadi nauri wanarudishiwa na pia mazaga zaga kibao walikua wanapewa shuleni kama tanbond (tanbond unaweza kuuita blue band leo) sabuni za kufulia nk, wanafunzi wa chou kikuu sidhadni kama walikua na tofauti kubwa saana na wafanyakazi but ni Nyerere huyo huyo aliyenusurika kupinduliwa more than 5 times; ukimnyima binadamu UHURU hata wa kufikiria, kukosoa na kusema anacho kiamini, tegemea yaliomkuta Gadaffi. Nadhani hata nchi nyingi sana za Kiarabu ni kama kwa sehemu kubwa wana Maisha ya bure sana but je, kuna Amani ya maana kwenye nchi yeyote ya Kiarabu? Hili ndio kosa kubwa sana analolifanya mhe No 1 wetu hapa bongo.Mkuu binadamu kaumbwa kuwa huru....iwapo Mwenyezi Mungu katupa uhuru wa kumwabudi yeye au laa hivyo Basi hakuna binadamu atakaye mnyima mtu uhuru akabakia salama?!!....Gadafi alifanya mengi mazuri kosa ni kuwanyima uhuru watu wake.....
Sent using Jamii Forums mobile app
China wanaishi maisha haya lkn sijasikia choko chokoNilitaka kuandika kama hivi; wenye umri kuanzia miaka 47 kwenda mbele wanaweza kukumbuka mambo ya JK Nyerere, ingawa Tanzania ilikua masikini sana lakini hopsitali ilikua bure, shule zote kuanzia msingi hadi chou ilikua bure, tena wanafunzi walikua hadi nauri wanarudishiwa na pia mazaga zaga kibao walikua wanapewa shuleni kama tanbond (tanbond unaweza kuuita blue band leo) sabuni za kufulia nk, wanafunzi wa chou kikuu sidhadni kama walikua na tofauti kubwa saana na wafanyakazi but ni Nyerere huyo huyo aliyenusurika kupinduliwa more than 5 times; ukimnyima binadamu UHURU hata wa kufikiria, kukosoa na kusema anacho kiamini, tegemea yaliomkuta Gadaffi. Nadhani hata nchi nyingi sana za Kiarabu ni kama kwa sehemu kubwa wana Maisha ya bure sana but je, kuna Amani ya maana kwenye nchi yeyote ya Kiarabu? Hili ndio kosa kubwa sana analolifanya mhe No 1 wetu hapa bongo.
Historia yao ikoje labda? Kama walizoezwa hivyo miaka yao yote then sio jambo rahisi kutetereka but kama hamkuzoezwa hivyo then machafuko yategemee tu.
Ok China waliobadilishwa kipindi kigumu. Na wakazoea hadi leoHistoria yao ikoje labda? Kama walizoezwa hivyo miaka yao yote then sio jambo rahisi kutetereka but kama hamkuzoezwa hivyo then machafuko yategemee tu.
Kwanini mtu mmoja ang'ang'anie madaraka as if wewe ni Jiwe ukaishi milele ?!. Tujiwekee utaratibu wa kuongozana vizuri toka mtu hadi mwingine na toka chama kimoja hadi kingine . Ndipo hapo mazuri yatakapokuwa endelevu . Nasi hii ya matendo mema kuondoka na kiongozi mhusika.
Mfano kwanini Tz tusijiwekee utaratibu mzuri Leo ?!. Badala ya kusubiri machafuko au vita !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna uhuru usio na mipaka wewe. Angalia uhuru wa leo kama ni uhuruMkuu binadamu kaumbwa kuwa huru....iwapo Mwenyezi Mungu katupa uhuru wa kumwabudi yeye au laa hivyo Basi hakuna binadamu atakaye mnyima mtu uhuru akabakia salama?!!....Gadafi alifanya mengi mazuri kosa ni kuwanyima uhuru watu wake.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye weekend hapo sidhani kama unasema kweli, China pia hua wanapumzikaOk China waliobadilishwa kipindi kigumu. Na wakazoea hadi leo
Kule hakuna kuhoji hakuna weekend ...hakuna kusali.....kazi ni kazi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna democracy gani ?! Labda sikuelewi !!. Democracy ambayo mtawala akishindwa kura zinafutwa ?!Raisi ameifanyia nchi yake mazuri, maji bure, umeme bure, mja mzito anapewa dola 5000 n.k. kwanini asiendelee hata miaka 100!!!
Huyu wa kwetu ametubania kila kitu, kuingiza magari ushuru mkubwa, viwanja na manyumba tunalipia kodi, mpaka waendesha baiskeli aka boda boda wanalipia kodi!! Ukija kwa wageni hivyo hivyo, wenye makampuni wamefungiwa na kusababisha wazawa kukosa kazi....
Nchi yetu ni ya democracy lakini tuna faidika na nini ndani yake?? Ni upumbavu tu.