makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 27,737
- 79,944
Kama kuna asali na mafuta ya ukweli basi watawale milele tu, sio hawa wa huku kwetu wanatuletra udiktekta uchwara hakuna cha asali wala mafuta ni mwendo wa kupita pekupeku kwenye kichochoro cha mbigili..Lakini pia siyo sahihi kuwashabikia ma DICTATOR kwa namn yeyote Ile. Kisa asali na mafuta !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app