mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
Tunawaogopa wakenya,warwanda pengine na waganda kwa sababu watachukua ardhi yetu,
Nini kimetuzuia sisi kuchukua hizo ardhi ambazo tunadhani wao watazichukua ?
Pamoja na kuwa na Taasisi za Kilimo kila kona mwa nchi, na Nyingine ni za viwango vya kimataifa lakni Hakuna, Leo ukitafuta kwenye Mitandao au Youtube maelezo Serious kuhusu kilimo au Ufugaji wowote Utayapata kutoka kwa wakenya. Ni kawaida kukuta Watu 1000 wanamizinga ya nyuku 80 au 120 lakini kwa wenzetu mtu mmoja anamizinga ya nyuki 60,000.
Ujanja ujanja wetu tunashindiwa wapi na hawa jamaa wanaotuzuguka katika kukamata fursa zinazotuzunguka hapa kwetu?
Wazoefu mtueleze Tulifikajefikaje hapo, Mbona pamoja na kufahamu hayo bado hatujashtuka?
Ukisoma habari na comment za wengi kama vile hata warwanda pia tunawaogopa, Waganda ukivuka Boarder tu, mtukula wako bize hadi unaingia kampala wako bize mwanzo hadi mwisho.
wakati kutoka Shinyanga Mwanza sehemu kubwa ni mapori yasiyo na Simba wala Swala.
Hongera sana Arusha Moshi angalau ukipita panatia Moyo.
Nini kimetuzuia sisi kuchukua hizo ardhi ambazo tunadhani wao watazichukua ?
Pamoja na kuwa na Taasisi za Kilimo kila kona mwa nchi, na Nyingine ni za viwango vya kimataifa lakni Hakuna, Leo ukitafuta kwenye Mitandao au Youtube maelezo Serious kuhusu kilimo au Ufugaji wowote Utayapata kutoka kwa wakenya. Ni kawaida kukuta Watu 1000 wanamizinga ya nyuku 80 au 120 lakini kwa wenzetu mtu mmoja anamizinga ya nyuki 60,000.
Ujanja ujanja wetu tunashindiwa wapi na hawa jamaa wanaotuzuguka katika kukamata fursa zinazotuzunguka hapa kwetu?
Wazoefu mtueleze Tulifikajefikaje hapo, Mbona pamoja na kufahamu hayo bado hatujashtuka?
Ukisoma habari na comment za wengi kama vile hata warwanda pia tunawaogopa, Waganda ukivuka Boarder tu, mtukula wako bize hadi unaingia kampala wako bize mwanzo hadi mwisho.
wakati kutoka Shinyanga Mwanza sehemu kubwa ni mapori yasiyo na Simba wala Swala.
Hongera sana Arusha Moshi angalau ukipita panatia Moyo.