Tofauti ya bei Kenya na Tanzania

Happy nation

JF-Expert Member
Apr 19, 2015
679
591
Nasikitika sana kusema nchi ya viwanda haiwezekani,kenya wanatushinda kwa bei ya umeme,wataalamu wa viwanda ,mandhari ya uwekezaji ni nzuri (supply ya mahitaji ya kuendesha kiwanda,spea,chain ya mahitaji)historia kenya ni nzuri kwani hawajawahi kutaifisha mali ya watu, Vat ni asilimia 16 tanzania 18,kwa hiyo sioni mvuto ya wanaojenga kiwanda aache kenya aje tanzania.piga exchange rate 21.7 kwa hela ya tanzania. Kwa vivanda Tanzania sh 317 na kenya ukibadilisha sh 199. SmartSelectImage_2016-12-31-18-36-34.png
 
Mkuu kwanza cha kusikitisha ni kuwa per capita income ya Kenya ipo juu .......

Lakini bado umeme wetu upo juu kwa bei kuwaliko.......

Kichekesho kingine Kenya wananunua umeme kiasi Ethiopia ......

Lakini bado umeme wao ni cheap.......
 
Inasikitisha tofauti ya asilimia 60,hivi hata mwehu ukimwambia awekeze kenya na tanzania na soko ni moja kwa tofauti hiyo ataenda kenya,bado usumbufu wa NEMC na faini zao ,ziara za kushtukiza kwenye viwanda vya watu,wataalamu permit ghali,ajira tutegemee wamachinga.
 
Unaonaje kuhamia Kenya? Ondoka hapa Tanzania kwenye shida, tena VAT iko juu kuliko Kenya, si uende? Kwani kulalamika kijinga? NENDA HAKUNA ATAKAYEKUFUATA. HATUPENDI WATU WASIOPENDA WA KWAO. HAWA NI WABAYA KULIKO WASIOAMINI. EE MOLA TUONDOLEE WATU HAWA UKAWAFICHE MAHALA AMBAPO HAWATAPATA NGUVU YA KURUDI TZ NA KUTUHARIBIA NCHI ULIYOTUPATIA.
 
Unaonaje kuhamia Kenya? Ondoka hapa Tanzania kwenye shida, tena VAT iko juu kuliko Kenya, si uende? Kwani kulalamika kijinga? NENDA HAKUNA ATAKAYEKUFUATA. HATUPENDI WATU WASIOPENDA WA KWAO. HAWA NI WABAYA KULIKO WASIOAMINI. EE MOLA TUONDOLEE WATU HAWA UKAWAFICHE MAHALA AMBAPO HAWATAPATA NGUVU YA KURUDI TZ NA KUTUHARIBIA NCHI ULIYOTUPATIA.

umecomment kiuvccm
 
Unaonaje kuhamia Kenya? Ondoka hapa Tanzania kwenye shida, tena VAT iko juu kuliko Kenya, si uende? Kwani kulalamika kijinga? NENDA HAKUNA ATAKAYEKUFUATA. HATUPENDI WATU WASIOPENDA WA KWAO. HAWA NI WABAYA KULIKO WASIOAMINI. EE MOLA TUONDOLEE WATU HAWA UKAWAFICHE MAHALA AMBAPO HAWATAPATA NGUVU YA KURUDI TZ NA KUTUHARIBIA NCHI ULIYOTUPATIA.
Mawazo hayo ndiyo yaliyotufikisha hapa watanzania,mnaona kuna shida hamsemi mnashabikia,ikifika shingoni mnategemea mungu awasaidie,hivi unadhani ni bahati mbaya nchi hii ni maskini?watu wakiwa milioni kumi kama wewe mtanyeshwa detol ili mpone.
 
Back
Top Bottom