Cheef Baroka
JF-Expert Member
- Apr 28, 2019
- 491
- 1,002
- Thread starter
- #21
Nimejaribu kumuomba tutoka mara kadhaa huwa hayuko tayari na kuhusu zawadi nampaga huwa anafurahia na kunishukuru tu, kwisha habari.Wewe unazo hisia juu yake Acha udomo zege muombe kumtoa lunch siku moja mchana, simamia bill, mpe kizawadi kidogo isiwe ya gharama sana wakati mnapata chakula mweleze yaliondani ya moyo kwa hisia za kweli...
Zingatia uenda huyo binti yeye anahitaji mume sio mchezea papuch na kusepa zake.