tofaut kat ya biashara na siasa zielewke startv

tofaut kat ya biashara na siasa zielewke startv

Joined
Aug 23, 2015
Posts
39
Reaction score
12
hii! kuna tangazo fulan linarushwa startv likirusha speech ya mwl nyerr likihuc ufisad wakat huo wakionesha picha za mh lowasa! hii inamaanisha nin ama kwa wale waukawa waache kusapot chanel hi il ibak kwa maccm pekee! naomba kuwasilisha wadau.
 
TCRA nyinyi mnalalamikiwa sana, hamfati yale wananchi wanawaambia... startv wanaleta ujinga
 
Last edited by a moderator:
TCRA kulikoni?,amani ya nchi yetu ni bora kuliko star tv na upuuzi wao!
 
Last edited by a moderator:
Nimeshtuka sana nilipoliona..kiasi ya kwamba sikuamini macho yangu.

Ni uchochezi wa dhahiri, tena ni wa hatari sana.

NEC na TCRA nasubiri Maelezo kutoka kwenu
 
Aisee mwenyewe nikajiuliza naota au ni kweli,Tanzania tunaenda wapi serikali mko wapi huu ni uchochezi
 
Hata Taarifa za Habari ITV title zake ziko very biased...utasikia mgombea wa ukawa apata mapokezi makubwa wakati habari inayofata ya Magufuli hawasemi amepata mapokezi makubwa ingawa unakuta uwanja umefurika. Sijui TCRA wamelala.
 
Kwani shida nini? Mbona lile ka mtanzania akiyatKa mabadiliko atayatafua nje ya.... Hßamja question na wakati limekatwa nusu?
 
Masheikh na Maaskofu nao wanatakiwa watoe tamko kulaani hilo tangazo sababu linadhalilisha imani na utu wao kwamba wamenunuliwa na LOWASSA kama sio kutugawa WATANZANIA ni nini Jamani TCRA mko wapi huu ni uchochezi na ukiukwaji wa maadili wa hali ya juu.
 
Last edited by a moderator:
hapa tuna twanga maji kwenye kinu siamini TCRA kama watawachukulia hatua zaidi ya onyo tu. kwa nchi zawenzetu kwatangazo kama hili tv inafungiwa hadi mwisho wamchakato wa uchaguzi maana niuchochezi ulio pitiliza.
 
Back
Top Bottom