today is my birthday...

kalou

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2009
Posts
4,992
Reaction score
3,879
Party wapi tuje kula keki? Ngoja nikatafute chupa ya wine ya kuja nayo.
 
Mmmmmmmmmmmh! Age is a THIEF!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! HAPPY BIRTHDAY!!!!!!!!!!!!! Japo Chelsea anabwela mbwela kwenye ligi! lol!
 
Mmmmmmmmmmmh! Age is a THIEF!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! HAPPY BIRTHDAY!!!!!!!!!!!!! Japo Chelsea anabwela mbwela kwenye ligi! lol!

lara 1 nawe....ahsante..hayo ya chelsea muachie Mourihno..
 
Last edited by a moderator:
.
.
.
.
.
.
ina maana umepunguza mwaka mmoja katika jumla ya miaka utakayoishi,au umekisogelea kifo kwa mwaka mmoja zaidi.......so pole na hongera,kati kwa kati
 
Hongera sana

Uishi maisha marefu sana K
 
^^
May God place upon you all the positive extraordinaries
Happy birthday kalou
^^
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Lazy mate Happy birthday........

halafu unapotea sana kalou au ndo washinda PM
 
Last edited by a moderator:
Lazy mate Happy birthday........

halafu unapotea sana kalou au ndo washinda PM

hah hah....kama hapa jukwaani kunanishinda maudhurio nitaweza pm kweli.... maisha tu yamekaba kidogo ....i miss u lazymate...
 
Last edited by a moderator:
hah hah....kama hapa jukwaani kunanishinda maudhurio nitaweza pm kweli.... maisha tu yamekaba kidogo ....i miss u lazymate...

I miss you too Lazy mate.......

pm unweza kua umejichimbia lakin nimekuelew sa hivi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…