To Mshana Jr

Subiri atakutumia namba yake kwa njia ya kunguru usikimbie tu ukiona kunguru ana hirizi kubwa kama nokia tochi
 
Wewe kama mdada shukuru
Kuna dada mmoja alikuwa akitongozwa hadi kero sababu ya uzuri wake
 
Nawe vipi tena kwa profile yako naona udjat au unamwabudu horus mungu wa kimisri
Naipenda alama ya jicho! jicho linamaana kubwa sana kwangu,pia hi alama naipenda kwani nimetokea kuvutiwa na historia ya wamisri.. nikipata mpunga wa kutosha nitaenda kuyashangaa mapyramid na fahari mbalimbali za wamisri.. kuhusu Mungu I don't believe.
 
Hiyo alama ipo katika Hieroglyphics hizi ni system za maandishi za ancient Egypt,hata mimi niko interested sana na ancient Egypt japo mimi nipo kwenye mystery religion zao zikihusisha miungu yao kama kina ISIS,Horus,osiris na wengine,na imani nyingine kedekede kama za kwenye the book of dead
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…