mmh! KWELI itakuwa unashida kubwa na Mshana Jr hadi umefungua iD mpya kwa ajili hiyo!!!!
Ukipata namba zake na mie naziomba, nina shida naye nataka aniangalizie nyota yangu, nina miezi karibia 6 sijatongozwa
mmh! KWELI itakuwa unashida kubwa na Mshana Jr hadi umefungua iD mpya kwa ajili hiyo!!!!
Ukipata namba zake na mie naziomba, nina shida naye nataka aniangalizie nyota yangu, nina miezi karibia 6 sijatongozwa
Naipenda alama ya jicho! jicho linamaana kubwa sana kwangu,pia hi alama naipenda kwani nimetokea kuvutiwa na historia ya wamisri.. nikipata mpunga wa kutosha nitaenda kuyashangaa mapyramid na fahari mbalimbali za wamisri.. kuhusu Mungu I don't believe.
Naipenda alama ya jicho! jicho linamaana kubwa sana kwangu,pia hi alama naipenda kwani nimetokea kuvutiwa na historia ya wamisri.. nikipata mpunga wa kutosha nitaenda kuyashangaa mapyramid na fahari mbalimbali za wamisri.. kuhusu Mungu I don't believe.
Hiyo alama ipo katika Hieroglyphics hizi ni system za maandishi za ancient Egypt,hata mimi niko interested sana na ancient Egypt japo mimi nipo kwenye mystery religion zao zikihusisha miungu yao kama kina ISIS,Horus,osiris na wengine,na imani nyingine kedekede kama za kwenye the book of dead