TLS ifutwe tu, haipo kwa maslahi ya nchi bali matumbo yao!

Ke nini msisubiri mpaka mwisho? Mbona kinachofanyika bungeni ni kile kile alichokuwa anazungumzia Lissu? Elimu tu ndiyo shida Tz.

Tunafuta TLS kinakuwa chama cha wawalarushwa na tuaanzisha Board ya Usajili ya wanasheria (LRB) kama zilivyotaasisi nyingine. Na kupokonya majukumu yote ya TLS na kuipa LRB.
 
Utakuwa umesoma VETA wewe sio Bure

Tunafuta TLS kinakuwa chama cha wawalarushwa na tuaanzisha Board ya Usajili ya wanasheria (LRB) kama zilivyotaasisi nyingine. Na kupokonya majukumu yote ya TLS na kuipa LRB.
 
Kijana mdogo mpumbavu una mawazo ya kipumbavu sana. Endelea na upumbavu wako lakini.
 
Kijana mdogo mpumbavu una mawazo ya kipumbavu sana. Endelea na upumbavu wako lakini.

Tunafuta TLS kinakuwa chama cha wawalarushwa na tuaanzisha Board ya Usajili ya wanasheria (LRB) kama zilivyotaasisi nyingine. Na kupokonya majukumu yote ya TLS na kuipa LRB.
 
Swali la msingi je mleta mada wewe ni wakili au mwanasheria? haiingii akilini mwalimu wa shule ya msingi kutaka chama cha wanasheria kifutwe...
 
Ni aibu sana kwa proffesionals kumfanya mwanasiasa kuwa mwenyekiti ...conflict of interest haikufikiriwa.

chochote atakachofanya tutakiona kina mrengo na maslahi ya chama chake cha kisiasa.

Kwa akili yako siasa nayo ni professional? Unaeezaje kuitenga siasa ktk professional bodies? Sehemu yoyote, chama chochote ambacho kuna uchaguzi wa viongozi wenye vyeo vya mwenyekiti huwezi kuiepuka siasa.

Vv
 
Swali la msingi je mleta mada wewe ni wakili au mwanasheria? haiingii akilini mwalimu wa shule ya msingi kutaka chama cha wanasheria kifutwe...

Mimi si wakili but najua Constitution and legal system, Administrative laws na statutes wewe kaulize OPEN university.
 
Ni aibu sana kwa proffesionals kumfanya mwanasiasa kuwa mwenyekiti ...conflict of interest haikufikiriwa.

chochote atakachofanya tutakiona kina mrengo na maslahi ya chama chake cha kisiasa.
Wenye akili watapima
Ukweli Na uongo vitajitenga!!

Mbona raisi Ni mwanasiasa Na anaongoza professionals wote nchini....!!hapo vip au wapiga Kura hawakufikiria cinflict of interest....

Kilichozingatiwa Ni sifa za mgombea kuongoza aanasheria kulingana Na malengo ya chama Chao.

Suala la imani yake kuhusu dini,mtazamo wa kisiasa n.k
Halina mahusiano Na misingi ya weledi wa taaluma yake Na kazi za TLS.
 
Ilipokuwa inaongozwa na chama cha makinikia mlikuwa kimya kama hampo vile
 
Tunafuta TLS kinakuwa chama cha wawalarushwa na tuaanzisha Board ya Usajili ya wanasheria (LRB) kama zilivyotaasisi nyingine. Na kupokonya majukumu yote ya TLS na kuipa LRB.
Kwa umri wako ukikuwa uzeeni lazima utakuwa Mchawi
 
Kunguru poa tu penye ukweli ukweli uwepo. Tuna masheria rukuki hapa nchini ya hovyo sasa TLS ya nini? FUUUUUUTA
Rais mbona anaongoza nchi huku akiwa mkuu wa chama..mwenyekiti

Mwenyekiti wa chama kachagua karibu wakurugenzi wa wilaya/halmashauri wa ccm kuwa viongozi..hawa ndio watakao simamia uchaguzi mkuu

Ama kweli ukiwa ccm ndio unakuwa na ukomo wa mwisho kufikiri

Angekuwa kiongozi wa ccm ndio mkuu wa TLS hizo bodi tusingeziona

Naoba dira ya taifa inapotea taratibu kwa chuki za kisiasa

Mtoaa hoja anamanisha anything under Upinzani...ipo kinyume na katiba..duh bado tunaishi nchi ya ahadi..refer issue ya mtaa vs Wanyama
 
Kunguru poa tu penye ukweli ukweli uwepo. Tuna masheria rukuki hapa nchini ya hovyo sasa TLS ya nini? FUUUUUUTA
Umekurupuka kama babako anavokurupuka hapo nyuma wakati mnakiburuza hiki chombo mliona powwaa sasa wamepatikana wa kukisafiaha mnajitapikia ili matapiko yenyu yasionekane.
HAKIFUTWIIIIII NGO'OOOOOOOO
Na LISSU NDO RAIS WA WENYE AKILI.
 
Back
Top Bottom