TISS lindeni nchi yetu, kama mnalinda viongozi basi Taifa linaangamia

wazagamba nkoko

JF-Expert Member
Nov 23, 2021
392
998
Hii taasisi ni muhimu sana kwa maendeleo ya nchi na usalama wake kwa ujumla

Taasisi hii ikiwekwa mfukoni na watawala wanaokiuka viapo vyao, wakishirikiana na wafanyabiashara wasio waaminifu, raia wa chini ndio wanaoangamia, na raia itafikia muda watachoka, wakichoka ni machafuko tu.

Nchi imesaini mikataba ya trilion 11 (dola biliion tano za kimarekani), kinara ni Rostam Aziz.

Nani anajua terms and condtions za mikataba hiyo?

Kwakua sisi ndio wenye nchi ilifaa mikataba hiyo iletwe bungeni tuzifahamu benefits kwa watanzania

Katiba mpya ni muhimu sana kwa sasa
 
TISS kama walimwacha JIWE atutese siwaamini kabisa kama wana Nia njema ya kutulinda watanzania ,TiSS walitakiwa. 2015 kumnyang'anya fomu ya kura za maoni mgombea uraisi yule dhalimu ndani ya CCM.
Wenyewe uliowataja hao wapo chini ya wizara gani? Na hiyo wizara ipo chini ya mhimili upi? Ukijua hilo usiwalaumu
 
TISS kama walimwacha JIWE atutese siwaamini kabisa kama wana Nia njema ya kutulinda watanzania ,TiSS walitakiwa. 2015 kumnyang'anya fomu ya kura za maoni mgombea uraisi yule dhalimu ndani ya CCM.

Ndio maana ya kulilia Katiba mpya ili TISS isiwe chini ya Ofisi ya RAIS!! Rais huteua kiongozi wa TISS ambae atalında Maslahi yake. Vasco Dagama alimteua Othman kwasababu hizo hizo na mpaka sasa anajitahidi kutaka kumrudisha kwanini?
 
Ndio maana ya kulilia Katiba mpya ili TISS isiwe chini ya Ofisi ya RAIS!! Rais huteua kiongozi wa TISS ambae atalında Maslahi yake. Vasco Dagama alimteua Othman kwasababu hizo hizo na mpaka sasa anajitahidi kutaka kumrudisha kwanini?
Ndio madhara ya kuishia darasa la tatu
 
Hoja hii ni ya maana lakini inajadiliwa kipuuzi.
TISS ndio chombo ambacho kinqpowekwa mfukoni na wanasiasa kunakuwa kinatenda nje ya viapo vyao.

Hii nchi inahitaji TISS yenye uelewa juu ya Ujasusi wa KISIASA, KIUCHUMI na KIULINZI sio kuvaa suti na kukimbiakimbia kulinda tu wanasiasa ni ujinga.

Kama kiongozi haendi sawa na viapo au haleti tija ya Kisiasa, Kiuchumi na Kiulinzi hana umuhimu kuendelea kuwa madarakani.

Kiongozi Mbadilifu, mpiga deal na janja janja nyingi.
. Wakusanye data
. Wazifanyie analysis
. Watoe solution
Lkn pia wajue hata kiongozi kabla hajachukua dola anafaa? Kama sio apigwe chini.

Kimsingi TISS hii ya undugunaization haina watu competent on intelligency. Hawajui nini na lini nchi inatakiwa kwenda.
Wachukuliwe wenye akili kwenye idara hii.

Lakini la muhimu iwe mhimili unaojitegemea wenyewe. Usioingiliwa na Excutive labda bunge tu
 
Tanzania intelligence security service. Tiss kwa hiyo tafsiri hapo juu unafikiri mamlaka yao ni kulinda nini...?

Sidhani Kama usalama wa taifa wamepewa mamlaka yote na kama hawajapewa sijui wanasubiria nini kuyachota!.. Hawa njemba kazi yao kubwa ni kutafuta taarifa,kuzichakata na kuishauri serikali so hawana mamlaka ya kufanya maamuzi watakayoyafanya serikali ni serikali.!
 
Ikiwekwa picha ya kaburi la Magufuri Alafu pembeni ukasimama wewe na ipigwe kura ya kumtafuta mpuuzi, nakuhakikishia ndani ya sekunde 60 utakua umepita bila kupingwa
Apigiwe kura mungu mkuu. Muweza wa yote. Mm no nani mkuu
 
Hoja hii ni ya maana lakini inajadiliwa kipuuzi.
TISS ndio chombo ambacho kinqpowekwa mfukoni na wanasiasa kunakuwa kinatenda nje ya viapo vyao.

Hii nchi inahitaji TISS yenye uelewa juu ya Ujasusi wa KISIASA, KIUCHUMI na KIULINZI sio kuvaa suti na kukimbiakimbia kulinda tu wanasiasa ni ujinga.

Kama kiongozi haendi sawa na viapo au haleti tija ya Kisiasa, Kiuchumi na Kiulinzi hana umuhimu kuendelea kuwa madarakani.

Kiongozi Mbadilifu, mpiga deal na janja janja nyingi.
. Wakusanye data
. Wazifanyie analysis
. Watoe solution
Lkn pia wajue hata kiongozi kabla hajachukua dola anafaa? Kamq sio apigwe chini.

Kimsingi TISS hii ya undugunaization haina watu competent on intelligency. Hawajui nini na lini nchi inatakiwa kwenda.
Wachukuliwe wenye akili kwenye idara hii.

Lakini la muhimu iwe mhimili unaojitegemea wenyewe. Usioingiliwa na Excutive labda bunge tu
Ila hili la mikataba kusainiwa bila ya wananchi kujua chochote ni hatari sana kwa afya ya ulinzi wa rasilimali za wazawa wa TZ ktk maendeleo ya uchumi .

Nawaza tu mfano helium gas zitashindikana kuuzwa kimya kimya kama ile gesi yetu ya msoga
 
Hoja hii ni ya maana lakini inajadiliwa kipuuzi.
TISS ndio chombo ambacho kinqpowekwa mfukoni na wanasiasa kunakuwa kinatenda nje ya viapo vyao.

Hii nchi inahitaji TISS yenye uelewa juu ya Ujasusi wa KISIASA, KIUCHUMI na KIULINZI sio kuvaa suti na kukimbiakimbia kulinda tu wanasiasa ni ujinga.

Kama kiongozi haendi sawa na viapo au haleti tija ya Kisiasa, Kiuchumi na Kiulinzi hana umuhimu kuendelea kuwa madarakani.

Kiongozi Mbadilifu, mpiga deal na janja janja nyingi.
. Wakusanye data
. Wazifanyie analysis
. Watoe solution
Lkn pia wajue hata kiongozi kabla hajachukua dola anafaa? Kamq sio apigwe chini.

Kimsingi TISS hii ya undugunaization haina watu competent on intelligency. Hawajui nini na lini nchi inatakiwa kwenda.
Wachukuliwe wenye akili kwenye idara hii.

Lakini la muhimu iwe mhimili unaojitegemea wenyewe. Usioingiliwa na Excutive labda bunge tu
CIA wao wanapatikana kwa njia za wazi baadae wanapelekwa kupikwa
 
Ila hili la mikataba kusainiwa bila ya wananchi kujua chochote ni hatari sana kwa afya ya ulinzi wa rasilimali za wazawa wa TZ ktk maendeleo ya uchumi .

Nawaza tu mfano helium gas zitashindikana kuuzwa kimya kimya kama ile gesi yetu ya msoga
Kwa taarifa yako mikataba ya siri ndio inayoilinda ccm isitoke madarakani. Kama usiponielewa basi.
 
Tanzania intelligence security service. Tiss kwa hiyo tafsiri hapo juu unafikiri mamlaka yao ni kulinda nini...?

Sidhani Kama usalama wa taifa wamepewa mamlaka yote na kama hawajapewa sijui wanasubiria nini kuyachota!.. Hawa njemba kazi yao kubwa ni kutafuta taarifa,kuzichakata na kuishauri serikali so hawana mamlaka ya kufanya maamuzi watakayoyafanya serikali ni serikali.!
Ooh kumbe? Kwa tafsri yako basi sawa.
 
TISS ni taasisi ambayo malengo yake makuu ni kulinda viongozi na sio maslahi ya taifa.

Kipindi Cha jiwe ndio iliongoza mipango ya utekaji na mauwaji chini ya kipilimba.

Kama tutapata katiba mpya ni kuifumua na kuweka malengo upya.
 
Back
Top Bottom