N ngawia JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 834 Reaction score 858 May 7, 2015 #1 Wadau nauliza kwa anaejua hii shule ipo sehem gani kwa maana maeneo gani manake kuna ndugu yangu anataka kumpeleka kijana wake sasa kaniuliza nimeshindwa kumpa jibu.
Wadau nauliza kwa anaejua hii shule ipo sehem gani kwa maana maeneo gani manake kuna ndugu yangu anataka kumpeleka kijana wake sasa kaniuliza nimeshindwa kumpa jibu.
kikonyoro JF-Expert Member Joined Aug 24, 2014 Posts 715 Reaction score 331 May 7, 2015 #2 Ipo lumo barabara ya kuelekea machimbo ukitokea jet
N ngawia JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 834 Reaction score 858 May 7, 2015 Thread starter #3 Ahsante sana mkuu kwa taarifa.
mpalu JF-Expert Member Joined Sep 15, 2010 Posts 2,521 Reaction score 876 May 7, 2015 #4 ngawia said: Ahsante sana mkuu kwa taarifa. Click to expand... iko LUMO/MACHIMBO.......GARI ZAKE ZIMEANDIKWA MACHIMBO....AU UNAPANDA GARI ZA GONGO LA MBOTO..UNASHUKA JET HAPO UNAPANDA ZA MACHIMBO/MWISHO WA LAMI
ngawia said: Ahsante sana mkuu kwa taarifa. Click to expand... iko LUMO/MACHIMBO.......GARI ZAKE ZIMEANDIKWA MACHIMBO....AU UNAPANDA GARI ZA GONGO LA MBOTO..UNASHUKA JET HAPO UNAPANDA ZA MACHIMBO/MWISHO WA LAMI
N ndidudila Member Joined Feb 9, 2015 Posts 91 Reaction score 41 May 7, 2015 #5 Ukifika Lumo mwisho wa lami, unakwenda mbele kama hatua 20 hivi mkono wa kushoto kuna kibarabara kinaingia then utaiona shule
Ukifika Lumo mwisho wa lami, unakwenda mbele kama hatua 20 hivi mkono wa kushoto kuna kibarabara kinaingia then utaiona shule