OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,647
- 9,235
Jana mechi ya Morocco na RSA nimeshuhudia benchi la ufundi la timu ya taifa ya Morocco likiwa na mtu wa IT/TEHAMA/Video Analyst akiwa na laptop yake, kazi ya keni kufuatilia matukio yote na uhuni wote ndani ya pitch/uwanja na akiona dosari inayoipa faida timu yake alikuwa anamuita kocha wao aangalie kisha fasta kocha anawafuata waamuzi kwa kujiamini na kwa kukomaa.
Mwisho wa siku wakapata faida ya penati na alimanusura wafutiwe kadi nyekundu ambayo ilikuwa imeishatolewa tayari, hii ni mbinu nzuri mno hakishindikani kitu na sisi kutumia mbinu hii kinachohitajika ni tablet/laptop App ya Azam Max na bando.
Kisheria inaruhusiwa, tutawabana marefa wahuni ili ifike mahali TFF waone ulazima wa kuleta VAR.
Nawasilisha.
Mwisho wa siku wakapata faida ya penati na alimanusura wafutiwe kadi nyekundu ambayo ilikuwa imeishatolewa tayari, hii ni mbinu nzuri mno hakishindikani kitu na sisi kutumia mbinu hii kinachohitajika ni tablet/laptop App ya Azam Max na bando.
Kisheria inaruhusiwa, tutawabana marefa wahuni ili ifike mahali TFF waone ulazima wa kuleta VAR.
Nawasilisha.