Timu ya UKAWA usipime!

Kaa! Uncle Sam, sasa wanaundaje serikali wakati hata uchaguzi Mkuu haujafanyika, na kwani mawaziri hawatatokana na wabunge watakaokuwa wameshinda uchaguzi/ kuteuliwa na Rais!? Mmmh
 
Ukawa wanacheza siasa tu. ina maana ufisadi wa Magufuli kaufanya baada ya kuteuliwa nafasi ya Urais? Siku zote walikuwa wapi?
 

Watanzania tuna shida ya ubongo.
Kosa kubwa kuuza nyumba karibia zote za serikali huku huna plan B.
Wamewauzia watumishi wa serikali kwasababu hawakuwa na plan ya kuwawezesha wtumishi masikini hawa kuwa na nyumba... Kwa wale wa chini sio wle wa masaki.

Sasa ni hasara juu ya hasara. Magufuli mwenyewe sasa yupo entitled kuwa na nyumba ya serikali japo aliuziwa aliyokuwa anaishi. Bullshitt**
 
GOD BLESS UKAWA, GOD BLESS TANZANIA, GOD BLESS AFRICA

GOD PROTECT ALL UKAWA LEADERS, MOSTLY OUR BELOVED PRESIDENTIAL CANDIDATE WHOM WE'LL SOON BE KNOW TOMORROW. (Hopefully not Lowasa as allegedly reported)

IT'S NEW HOPE, A NEW DAY THAT THE LORD HAS MADE 14-7-15. ENDING THE OVER 50 YEARS OF ENSLAVEMENT AND OPPRESSION BY FELLOW BLACKMEN, MAKING AN END TO THI CURSE.

WE'LL STAND STILL AND WITNESS THE GLORY, FOR THE LORD ALMIGHTY WILL FIGHT FOR US.
 
Kaa! Uncle Sam, sasa wanaundaje serikali wakati hata uchaguzi Mkuu haujafanyika, na kwani mawaziri hawatatokana na wabunge watakaokuwa wameshinda uchaguzi/ kuteuliwa na Rais!? Mmmh
Kumbuka Zitto Kabwe aliwahi kuwaambia kuwa UKAWA ni umoja wa Kugawana Madaraka. Hawana jipya
 
Ngoja niwai kulala kesho ifike haraka.
 
Ukawa wanacheza siasa tu. ina maana ufisadi wa Magufuli kaufanya baada ya kuteuliwa nafasi ya Urais? Siku zote walikuwa wapi?

CAG alitoa report baada ya Magufuli kuwa mgombea wa CCM?

CAG tena Assad mwenyewe kasema ujenzi ni madudu tupu... Leo mnashangilia kama vile mmekojolewa kwa huko mtoapo kinyesi.

Whats wrong with you CCM guys...
Kwenye picha ndo waume zako hao au?? Sasa badili, weka ya Magu.filu
 

Well said, kwa wakati tulionao Tanzania tunahitaji mnyapara kama Magufuli ili watu tufanyekazi tujenge nchi. Tumechoka kuchekwa na Wakenya
 

Umeona sasa mkuu? Watanzania bado sana kujitambua, wana hope nahuyu mwizi eti atachapa kazi. Wameshasahau yote alivouza nyumba nayeye kujigawia nyumba kadhaa, leo wanadai wamepata mgombea safi. Sometime mi huwa najuta kuzaliwa nchi hii yawajinga siosiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…