Haari yako ndugu
Nimeona post yako kuhusu tikti za masika na kiangazi
Ila mm ninaomba kujua kuhusu muda wakuweka maji kwa wingi shamba la tikitik nikuanzia siku ys ngap had ya ngap??
Na je iliposema unakata maji kuanzia siku ya 55 una maanisha baada ya hapo huweki maji kabisa mpaka kivuna!? Je kuvuna inakuwa siku ya ngap??