KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Wiki ya pili sasa TiGO sasa wanatupatia usumbufu usio wa lazima; sijui mimi tu na nyie wenzangu yanatokea kwenye simu zenu! Ukipiga simu ambayo imekuwa saved wanaondoa sifuri.
mfano 0719666099 inakuwa 719666099 au km inaanza +255 wanaiondoa hiyo code kisha unambiwa ichunguze vizuri namba uliyopiga ukiiweka tena unapiga inakwenda.
Mwanzoni nilidhani simu yangu but simu ni 2chip artel iko mkide!
Ebu tusaidiane nini tatizo?
mfano 0719666099 inakuwa 719666099 au km inaanza +255 wanaiondoa hiyo code kisha unambiwa ichunguze vizuri namba uliyopiga ukiiweka tena unapiga inakwenda.
Mwanzoni nilidhani simu yangu but simu ni 2chip artel iko mkide!
Ebu tusaidiane nini tatizo?