Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,726
Waliosikia hotuba mbovu ya prof Anna Tibaijuka kwanza wameshangaa mantiki ya uprofesa wake ukiachia mbali kuonyesha ujinga wa ajabu.
Alidai hana hatia wakati alipokea fedha chafu na ya wizi. Pia alisema fedha ni kwa ajili ya maendeleo.
Maendeleo gani kwa fedha ya wizi na kwa ajili ya nani. Aliogeza kuwa hajiuzulu kana kwamba uwaziri ni kazi yake binafsi.
Aliwahi kusema eti James Rugemalayer ni kaka yake. Mbona kwenye mgao hatuoni ndugu wengine?
Huyu mama asimlaumu mtu bali upofu na uroho wake. Anaposema kuwa taarifa za kukatiwa kitu ni uvumi anadharau Bunge na Kamati yake iliomkuta na hatia.
Namshauri akitoe asitujazie mbu. Ameishakatiwa chake basi aishie na kwenda kuajiriwa na Rugemalayer kama alivyofanya Patrick Rutabanzibwa aliyesifika kuwa mzalendo wakati ni fisi kwenye ngozi ya kondoo.
Unafiki mtupu kusema eti Tibaijuka haoni kosa wala hana hatia wakati ameneemeka na fedha ya wizi tena wa kuibia watu maskini wa taifa ombaomba linaloongozwa na majambazi wezi na mafisadi.
Nenda Tibaijuka nenda wala usigeuke nyuma. Nenda mwanakwenda tu umeishatuibia. Nenda hatukutaki tena fisadi mkubwa.
Alidai hana hatia wakati alipokea fedha chafu na ya wizi. Pia alisema fedha ni kwa ajili ya maendeleo.
Maendeleo gani kwa fedha ya wizi na kwa ajili ya nani. Aliogeza kuwa hajiuzulu kana kwamba uwaziri ni kazi yake binafsi.
Aliwahi kusema eti James Rugemalayer ni kaka yake. Mbona kwenye mgao hatuoni ndugu wengine?
Huyu mama asimlaumu mtu bali upofu na uroho wake. Anaposema kuwa taarifa za kukatiwa kitu ni uvumi anadharau Bunge na Kamati yake iliomkuta na hatia.
Namshauri akitoe asitujazie mbu. Ameishakatiwa chake basi aishie na kwenda kuajiriwa na Rugemalayer kama alivyofanya Patrick Rutabanzibwa aliyesifika kuwa mzalendo wakati ni fisi kwenye ngozi ya kondoo.
Unafiki mtupu kusema eti Tibaijuka haoni kosa wala hana hatia wakati ameneemeka na fedha ya wizi tena wa kuibia watu maskini wa taifa ombaomba linaloongozwa na majambazi wezi na mafisadi.
Nenda Tibaijuka nenda wala usigeuke nyuma. Nenda mwanakwenda tu umeishatuibia. Nenda hatukutaki tena fisadi mkubwa.