shuuprecious
New Member
- Oct 31, 2022
- 4
- 6
Hellow ndugu zangu, naomba kuuliza kwa yeyote anaejua tiba asili au za hospitali la tatizo la kuchelewa kushika ujauzito.
Inaitwaje comrade? Iko wilaya gani na mtaa gani kule Znz?!Kuna hospital moja ipo zanzibar alienda wife but wao hutibu kupitia tiba asilia katika changamoto kama hizo sema wana gharama sana.
Kama shs ngap??Kuna hospital moja ipo zanzibar alienda wife but wao hutibu kupitia tiba asilia katika changamoto kama hizo sema wana gharama sana.
Ok sawaHospitali nimeenda ndugu zangu na naambiwa sina tatizo ndio maana nikaja hapa kuomba ushauri kwa ambae ashawahi pitia hii hali au mwenye kujua
Je una uhakika Kama mume wako han tatizo isije kuwa mume ndio Ana tatizoHospitali nimeenda ndugu zangu na naambiwa sina tatizo ndio maana nikaja hapa kuomba ushauri kwa ambae ashawahi pitia hii hali au mwenye kujua
Kama mpo vzr kiuchumi nenda popote na ulinganisge majibuNenda mkoa wa Kagera kule kuhusu uzazi hakuna kinachoshindikana Kuna wataalam wabobezi wa tiba asilia tena kwa gharama ndogo.
Kwenye upande wa gharama kidogo wapo juu kwani alienda wife pekee ila location maybe nitamuuliza then nakuleta mrejesho. Kwakifupi namshukuru Mungu ilimsaidiaKama shs ngap??
Alienda wife pekee na kwaupande wa location maybe nitamuuliza then nakuleta mrejesho. Kwakifupi namshukuru Mungu ilimsaidiaInaitwaje comrade? Iko wilaya gani na mtaa gani kule Znz?!