Habarini ndugu zangu.
Mimi ni wa muda humu ila Nilipoteza Password na username, nikawa nasoma post na maoni tuu humu. Samahani kwa kutokuwa active humu!
Swala langu ni nimeitwa kwenye Interview mbili moja TIA- Tanzzania Institute of Accountancy na Nyingine ni TAFORI-Tanzania Forest Research Institute, sasa tatizo ni zote ni siku moja.
Mmoja ni Dar na nyingine ni Moro sasa sijui wapi pa kwenda kujaribu bahati yangu, labda kwa anayejua wapi ni afadhari.. TIA nafasi 4 ila wamitwa watu zaidi ya 300.. Tafori wamepiga simu tuu na nafasi ni mbili... TIA- mshahara ni TIASS 5 na Tafori ni PGSS 7.1 na hata sijui ndiyo sh. ngapi hizo.
Sasa naomba msaada wenu kwa hili, interview zote ni tarehe 25 April, mimi nipo Dar.
Naomba msaada wenu sana kwa hili..
Mimi ni wa muda humu ila Nilipoteza Password na username, nikawa nasoma post na maoni tuu humu. Samahani kwa kutokuwa active humu!
Swala langu ni nimeitwa kwenye Interview mbili moja TIA- Tanzzania Institute of Accountancy na Nyingine ni TAFORI-Tanzania Forest Research Institute, sasa tatizo ni zote ni siku moja.
Mmoja ni Dar na nyingine ni Moro sasa sijui wapi pa kwenda kujaribu bahati yangu, labda kwa anayejua wapi ni afadhari.. TIA nafasi 4 ila wamitwa watu zaidi ya 300.. Tafori wamepiga simu tuu na nafasi ni mbili... TIA- mshahara ni TIASS 5 na Tafori ni PGSS 7.1 na hata sijui ndiyo sh. ngapi hizo.
Sasa naomba msaada wenu kwa hili, interview zote ni tarehe 25 April, mimi nipo Dar.
Naomba msaada wenu sana kwa hili..