Thuram amtolea uvivu kocha wa Bordeaux

Thuram amtolea uvivu kocha wa Bordeaux

R.B

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
6,296
Reaction score
2,578
mchezaji wa zamani wa Ufaransa Lilian Thuram na mwenzake Willy Sagnol ambaye ndio mkufunzi wa kilabu ya Bordeaux Kocha wa klabu moja ya kandanda nchini Ufaransa anakabiliwa na shutuma kali kufuatia matamshi yake kuwa wanasoka kutoka afrika hawana maarifa
Kwenye mahojiano na gazeti moja Willy Sagnol alisema kuwa wanasoka kutoka Afrika wana nguvu lakini mchezo wa soka unahitaji maarifa, mbinu na nidhamu.

Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa Lilian Thuram ameyakashifu matamshi ya kocha huyo huku chama kinachopambana na ubaguzi wa rangi kikitaka kocha huyo kuchukuliwa hatua.
ThuramSagnol.jpg
Former teammates: Thuram and Sagnol at Euro 2008












Girondins de Bordeaux coach Willy Sagnol is facing a barrage of criticism after the former France and Bayern Munich defender said that African players are 'powerful' but seemed to suggest they lacked intelligence and discipline.



In an interview with local newspaper Sud Ouest, Sagnol said: "The advantage of the typical African player is that he is not expensive when you take him, he's generally ready to fight and he is powerful on the pitch. But football is not just that, it's also technique, intelligence, discipline."


Former France fullback Lilian Thuram and anti-racism associations hit out at Sagnol, who has the backing of his club.
"It's laid-back anti-black racism," SOS Racisme said in a statement, asking that "the LFP (French League), FFF (French Federation) and the Sports ministry take immediate sanctions."


Thuram said: "It is damaging that someone can hint that 'the African players' lack this or that quality."


The International League against Racism and Anti-Semitism (LICRA) said in a statement: "These abject theories are those that during the course of History have led to some kind of men and women having their humanity denied."


Bordeaux, however, stood by their coach, with president Jean-Louis Triaud saying on Wednesday that the interpretation of Sagnol's remarks were 'malicious'.


In 2011, then France coach Laurent Blanc also came under fire after he attended a soccer federation meeting in November where the idea of quotas for Arab and African youth players were discussed.


Blanc was cleared of discrimination charges following an inquiry by the French government.

LondonEveningStandard
 
Wachezaji aina ya kina Diouf wanatudhalilisha aisee, mafanikio kidogo nyodo kibao...
 
Wachezaji aina ya kina Diouf wanatudhalilisha aisee, mafanikio kidogo nyodo kibao...


Diof hawezi kutudhalilisha waafrika, kila anachofanya anafanya kama Diof kwa hiyo haiwezi kuwa sababu ya kusema waafrika tuko hivi au tuko vile. Mbona kuna waafrika wengi tu wenye mambo positive hatufananishwi nao. Ubaguzi ni ujinga, na unawafurukuta sana kwenye mioyo yao wakiona mafanikio ya waafrika.
 
Diof hawezi kutudhalilisha waafrika, kila anachofanya anafanya kama Diof kwa hiyo haiwezi kuwa sababu ya kusema waafrika tuko hivi au tuko vile. Mbona kuna waafrika wengi tu wenye mambo positive hatufananishwi nao. Ubaguzi ni ujinga, na unawafurukuta sana kwenye mioyo yao wakiona mafanikio ya waafrika.

Mafanikio yetu kwenye soka hayatakuwa kupeleka rundo la wachezaji Ulaya, bali kuwa na Ligi zetu za ndani bora ambazo zitawezesha mzunguko wa fedha katika Soka kuwa ndani ya Afrika.
Tunachofanya sasa hivi ni kuwaungisha wazungu huku tukijifariji na uwepo wa wachezaji wetu wawili watatu.
 
  • Thanks
Reactions: R.B
Mafanikio yetu kwenye soka hayatakuwa kupeleka rundo la wachezaji Ulaya, bali kuwa na Ligi zetu za ndani bora ambazo zitawezesha mzunguko wa fedha katika Soka kuwa ndani ya Afrika.
Tunachofanya sasa hivi ni kuwaungisha wazungu huku tukijifariji na uwepo wa wachezaji wetu wawili watatu.
Mkuu watu wote tunatamani kuwa na Ligi bora na kuwabakiza wachezaji wazuri, lkn nashindwa kuona Ni jinsi gani tutafika huko! Tuna matatizo kila upande, kuanzia kwenye kukuza hao wachezaji hadi kwenye miundombinu, fikiria tu kuwa Ni timu moja tu ambayo ina uwanja unaofaa pamoja na shule ya soka, hata vyama vya michezo vimeshindwa kuanzisha at least shule moja tu ya michezo! Itatuchukua miaka Milioni kufika walipo wenzetu wa ulaya! Kwa sasahivi ni afadhali kupeleka wachezaji wengi iwezekanavyo ulaya ili kuwa na timu nzuri ya taifa plus wakachume hela za wazungu waje kuinvest bongo!
 
Mkuu watu wote tunatamani kuwa na Ligi bora na kuwabakiza wachezaji wazuri, lkn nashindwa kuona Ni jinsi gani tutafika huko! Tuna matatizo kila upande, kuanzia kwenye kukuza hao wachezaji hadi kwenye miundombinu, fikiria tu kuwa Ni timu moja tu ambayo ina uwanja unaofaa pamoja na shule ya soka, hata vyama vya michezo vimeshindwa kuanzisha at least shule moja tu ya michezo! Itatuchukua miaka Milioni kufika walipo wenzetu wa ulaya! Kwa sasahivi ni afadhali kupeleka wachezaji wengi iwezekanavyo ulaya ili kuwa na timu nzuri ya taifa plus wakachume hela za wazungu waje kuinvest bongo!

Miaka milioni ni mingi sana mkuu, kama nia ipo tena ya dhati ni suala la muda mcheche tu. Nchi kama Korea hazikuwepo kabisa katika ramani ya soka miaka 20 iliyopita, lakini kwa kuwa wameamua wamesonga mbele. Mfano mzuri ni Angola, ambao juzi tu walikuwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe, miaka minane tu baadaye wakaandaa michuano ya Mataifa ya Afrika na timu yao ya taifa ni moja kati ya timu bora Afrika, vilevile Ligi yao ya Girabola ni moja ya Ligi bora pia... Tukiwa kundi la watu ambao tunapenda mabadiliko, ni mapema sana kutoa kauli za kukata tamaa na tuelekeako.
Wahindi wa Hindustan wana msemo, 'Aliyeogopa kafa'!
 
Back
Top Bottom