This week in Science

Warren.T

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2015
Posts
900
Reaction score
318
This week in Science
 

Attachments

  • 1439732154254.jpg
    42.4 KB · Views: 151
We need something like this for local Science issues in TZ.
 
We need something like this for local Science issues in TZ.

Hatuna akili,tulishalogwa wala hakuna mtanzania/mwafrika anaewaza kufanya inventions,hadi chupi tunavaa za mtumba(za wazungu) hatuna uwezo wa kutengeneza za kwetu!!!
 
Akili tunazo sana, sema kwenye upande wa Science hatujawekeza ipasavyo... Ni kosa kusema tumelogwa WARREN. T moja ya sababu ya kutokuendelea kwa Africa ni kuamini ushirikina (superstition).. Badilika mkuu.. Itaanza na wewe.. Waliwahi kusema waandishi wetu wa habari hawana vipaji leo hii tunao Millard Ayo, Ana Peter, Baba Johnny.. kwenye tasnia ya muziki wakasema tunabahatisha sasa ona Diamond ni global artist, P Square, na wengineo.. Sekta moja baada ya nyingine tutafika...

Kumbuka usikurupuke kuanza kuhitaji mabadiliko makubwa kwenye Science na technology kwa sababu hizo research report ulizoona ni project za matrilioni, tumeanza na kutokomeza malaria then baadae tutaanza kuwatengeneza paka wenye akili sana.. 😁
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…