This is too excessive, or is it just me?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,111
Reaction score
136,810
Matumizi mabaya ya madaraka pamoja na gharama kubwa kwa walipa kodi
 
Tuliamini vijana wakishasoma ndio wataleta mabadiliko katika nchi..

basi tukawekeza sana kwao, tukawasomesha

mwisho wa siku wamekua waizi wakubwa na maadui wa maendeleo katika kila sekta ya maendeleo.

Acha watenguliwe
 
Tunahitai kuwa na rais pale ikulu badala ya kuwa na mswahili na Uswahili mwingi
 
Tuliamini vijana wakishasoma ndio wataleta mabadiliko katika nchi..

basi tukawekeza sana kwao, tukawasomesha

mwisho wa siku wamekua waizi wakubwa na maadui wa maendeleo katika kila sekta ya maendeleo.

Acha watenguliwe
Sawa.

Lakini pia ni utaratibu gani huwa unatumika kuwapata hao watu?

Maana hakuna kabisa utulivu huko serikalini.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…