The truth about army ammuniation explosion like that of Gongo la Mboto


Well said.
 

Sijui kwa nini watu wanashindwa kukubali ukweli huu!Hongera sana kwa kuliona hili.
 
This country is in deep leadership vacuum. What is being awaited for change to happen is the boiling point to triger meaningful change for a new day. If leaders can not even learn from the previous loopholes/weakness then what relevancy do they have to remain leaders for the people? It is high time as a country, we review ethics and code of conduct for public servants. What core values do our leader pursue (responsiveness, integrity, hard working, professionalism, humility, dedication to people, passion to leave a memorable legacy etc) and enshrine in their day to day public life?
 
Wakati fulani nilikuwa nafikiria kuwa Tz tuanzishe nuclear plant ya kuzalisha umeme kwa kuwa umeme wa nuclear ni wa gharama ya chini na unakuwa reliable; lakini sasa na-think twice.
Kama mabomu tu yaliyolindwa na kuhifadhiwa vyema yanaweza kulipuka na kusababisha vifo namna hii, uzembe kama huo ukitokea kwenye nuclear si taifa zima litateketea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…