Verily Verily
Senior Member
- Jan 4, 2007
- 188
- 143
Na laana hizi zote zitakujilia juu yako, zitakuandama na kukupata, hata uangamizwe, kwa kuwa hukuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, kushika maagizo yake na amri zake alizokuagiza; kwa kuwa hukumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa furaha na moyo wa kushukuru, kwa ajili ya ule wingi wa vitu vyote; kwa hiyo utawatumikia adui zako atakaowaleta BWANA juu yako, kwa njaa, na kwa kiu, na kwa uchi, na kwa uhitaji wa vitu vyote; naye atakuvika kongwa la chuma shingoni mwako, hata atakapokwisha kukuangamiza. Nawe utakula uzao wa tumbo lako mwenyewe, nyama ya wana wako na binti zako aliokupa BWANA, Mungu wako; katika mazingirwa na katika mkazo utakaokazwa na adui zako.Sikumbuki kusikia watu wa Mungu wakitumwa eti 'Katangazeni habari mbovu, sijawahi kuona'....
Labda nijuze kimstari kinachoashiria hivyo nisaidie miwili mitatu. Enlighten me
Kum 28:45, 47-48, 53 SUV
NENO LA MUNGU HILO