The Professor Vs Scofield

Itazame upya La casa de papel mkuu, si kila alichopanga professor kilitimia, Professor alikuwa na options nyingi kwamaana iki-fail option A ata-opt B,C...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mbona unachanganya mafile mzee.. unafananisha na polisi za kibongo.. scofield anascript nying tu kali kavunja magereza kibao ambayo ktk script yanaoneshwa hayajawahi kuvunjwa na mtu yoyote. Usifananishe na segerea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote ni wakali

Mtazamo wangu nimemuelewa zaidi Scofield
Changamoto alizopitia huyu mwamba ni balaa aisee
Kuvunja na kutoroka ni jambo moja lakini kuwa kwenye mipango ya kutoroka na vichaa aliokua nao ilikua inahitaji zaidi ya akili ya ziada kukamilisha mpango mzima

Prof naye ni mtamu alipata changamoto lakini naona kama mipango yake mingi haikupata changamoto kama ya Scofield
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…