Prof ni bora kwa sababu kapiga mission ngumu ya kuvamia benki kuu ya nchi na kuchomoka na mapesa na akawagaia wananchi.
Scolfield huwezi mlinganisha na prof wewe. Kumtorosha mtu jela ni kitu kidogo ita polisi pemben mpe buku 50 uone kama ndugu yako hajatoroshwa na hao polisi wanao mlinda.
Sasa jiloge uende benki kuu ya nchi useme nataka kuvunja uone kitakupata nini.
Bella cha bela cha bela cha...
Sent using
Jamii Forums mobile app