The presence can't be seen until it's absence

The presence can't be seen until it's absence

MeNaco.com

Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
94
Reaction score
4
Hello wana jamvi,

Naomba kuuliza jambo ambalo linanisumbua sana moyoni.

1. Hivi kwanini watu huumizwa kwenye mapenzi?

2. Why people leave their true lovers for temporary ones?

Je ni kweli watu huwa wanasahau walikoanzia mahusiano?

Haya maswali yamenifanya kuandika hiyo heading kwasababu naona watu wengi huachana kwa kuumizana huku muumizaji akijigamba kuwa hata kumbuka chochote nyuma. Ila muda mfupi mbele anarudi analia.

Je ni kweli uwepo hauonekani mpaka upotee?
 
Uzuri/umhimu wa kitu unaonekana wakati hakipo.
 

If you left me Without any Reason,
Then Dont Come back With an Excuse...!!
 
Back
Top Bottom