MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,544
nilikuwa nataka kujua zaidi kuhusu hiki chuo kama sijakosea huwa elimu yake inakuwaje.
huwa ina kuwa ni online au darasani au ni ile unajisomea mnakutana kwenye test tu.
na kama ni hivyo ada zake hasa kwa diploma zinakuwaje saha anikiwa na maana ya gharama kamili kwa mwaka mmoja.
na vigezo vipi vinaweza fanya ukaingia huko au ni umri wowote ule
huwa ina kuwa ni online au darasani au ni ile unajisomea mnakutana kwenye test tu.
na kama ni hivyo ada zake hasa kwa diploma zinakuwaje saha anikiwa na maana ya gharama kamili kwa mwaka mmoja.
na vigezo vipi vinaweza fanya ukaingia huko au ni umri wowote ule