Mkuu natumia Mchina handset, ningekupa 'LIKE', umenena vizuri sana. Ninachukia kuona vijembe kwa timu yangu wakati hatuna utani na Azam. Acheni vijembe tuwasapoti vinginevyo RIP Azam FC.
Inabidi Azam watumie cross zaidi kama wanataka kupata goli, lakini kama wataendelea kupita katikati na kupiga mpira mirefu itawachosha tu na wanaweza wasipate goli.
Inabidi Azam watumie cross zaidi kama wanataka kupata goli, lakini kama wataendelea kupita katikati na kupiga mpira mirefu itawachosha tu na wanaweza wasipate goli.
Mkuu hebu waite hawa mashabiki wa Ndala pamoja na wale Mnyama waje huku tuishangilie Lambalamba FC, waambie hii sio ligi kuu hatuna cha kupoteza tukiwashangilia Azam sana sana tunaonyesha uzalendo.