Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,505
- 8,256
kama mchina ni raia halali kwa nini asijiandikishe? Wako raia wengi wa Tanzania wenye rangi nyingine zaidi ya nyeusi. That's besides the point. Point ni kwa nini kuna wahamiaji HARAMU kutoka Rwanda kwenda nchi nyingine but never wahamiaji HARAMU kutoka nchi nyingine kwenda Rwanda? Hilo swali ni gumu sana kwetu sisi tunaoambiwa Rwanda kuna hali nzuri ya maisha kuliko bongo. Tunaomba utusaidie hilo.
Mbona hueleweki mara raia mara wahamiaji haramu!
Hilo swali la kwanini nyie warwanda mnakuwa wahamiaji haramu kwenye nchi zingine inabidi ulijibu mwenyewe, ila mie nikuambie tu kuna jamaa angu ni mhamiaji haramu rwanda na kilichompeleka rwanda ni ndondo, kapiga ndondo uganda na sasa yuko rwanda