Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Haya maoni maoni yanatuchanganya.Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Aliposema mikutano ya kisiasa ni marufuku pia alisema tu japo ni kinyume cha sheria lkn inatekelezwa.!!Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Africa’s high birth rate is keeping the continent poor
Print edition | Middle East and Africa
Sep 22nd 2018
JOHN MAGUFULI, the president of Tanzania, has strong views about birth control. He does not see the point. In 2016 he announced that state schools would be free, and, as a result, women could throw away their contraceptives. On September 9th this year he told a rally that birth control was a sign of parental laziness. Tanzania must not follow Europe, he went on, where one “side effect” of widespread contraception is a shrinking labour force...
....Progress depends mostly on African politicians. It falls to them to create more and better schools, provide security for their people and invest in family planning. They, not foreign observers, need to conclude that their countries would be wealthier if they had rather fewer children. Like so much in Africa, almost everything depends on the quality of government. And that, sadly, is hard to decree.
==========
Wamemalizia kwa kusema DECREE, au ma amri amri na matamko tamko ya tawala za kina Magufuli wa Afrika, hayawezi kubadilisha ubora wa serikali zetu, na kwa bahati mbaya kila kitu Afrika kinategemea ubora wa serikali.
Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Kweli upumbavu ni mzigo...Wasingeendelea wahindi,waindonesia, au wachina , ila waseme kama wana ajenda yao ya pembeni ili waitekeleze baadae ....
Kama ni maoni yake tu mbona matangazo ya uzazi wa mpango yanapigwa marufuku na wizara?Lakini si alisema ni maoni yake tu"?na sio kwamba ametoa tamko kuwa watu waachane na uzazi wa mpango, au me ndio sikumuelewa!?
Kwani huko nyuma kabla ya uzazi wa mpango waafrika tuliishije?tuache habari za ushabiki wa kichadema madhara ya upungufu wa idadi ya nguvu kazi ni mbaya kuliko kuzdi idadi,ukiona uchumi wako mbovu ndani ya nyumba yako na solution ni kutokuzaa achakuzaa,usiwaamulie watu wote kupanga uzaziAfrica’s high birth rate is keeping the continent poor
Print edition | Middle East and Africa
Sep 22nd 2018
JOHN MAGUFULI, the president of Tanzania, has strong views about birth control. He does not see the point. In 2016 he announced that state schools would be free, and, as a result, women could throw away their contraceptives. On September 9th this year he told a rally that birth control was a sign of parental laziness. Tanzania must not follow Europe, he went on, where one “side effect” of widespread contraception is a shrinking labour force...
....Progress depends mostly on African politicians. It falls to them to create more and better schools, provide security for their people and invest in family planning. They, not foreign observers, need to conclude that their countries would be wealthier if they had rather fewer children. Like so much in Africa, almost everything depends on the quality of government. And that, sadly, is hard to decree.
==========
Wamemalizia kwa kusema DECREE, au ma amri amri na matamko tamko ya tawala za kina Magufuli wa Afrika, hayawezi kubadilisha ubora wa serikali zetu, na kwa bahati mbaya kila kitu Afrika kinategemea ubora wa serikali.
Tayari serikali imesitisha matangazo kuhusu uzazi wa mpango, tusishangae huo ndio mwanzo wa mwisho, unaweza kusikia UNFPA wanafurushwa nchini!
..can't believe this's real!
Sijui tuko mwaka gani.