Mkuu,nimesema "unaandika biblia KAMA ni kitabu kimoja" sijasema unamesema biblia ni kitabu kimoja....
Pia,sijasema kuwa King James ni sahihi isipokuwa nilisema zile nakala za kale za Qumran ndizo zilionesha kuwa Biblia toleo la King James ni sahihi....
Naomba uelewe sahihi hayo kwanza mkuu....