Jiwe la Filan Shane ni yake kabisa,Westlife wapo vizuri mno!na kamwe mashabiki wa kweli hatuwezi kuzichukia nyimbo zao.Bora waache tu. Wataaribu hadi tutaanza kuzichukia zile nyimbo zao. Wale jamaa wana nyimbo hazichuji.
Kuna wimbo (sijui wao au waliimba cover) unaitwa “You are Beautiful in White” aisee yale maneno yalipangwa.
Niwekee hapa fool again🤗Asiye na marinda hayupo mkuu.
Wamebaki wanne. Ila bado me naona hawawezi imba kama zamani nyimbo inaingia haswa kunako moyo.
Kama soledad, fool again.
youtube au nikuaplodie hapa uidownload?Niwekee hapa fool again🤗
matusi ya kiingereza utayaelewa..?Wanatakiwa waimbe matusi haswa ndipo wapokelewe vema na Wa TZ bila hivyo watasubiri sana.
itafute better man, open your heart, somebody love you utaipenda piaNakumbuka ngoma zao kama #solidar,#my love #queen of my heart jaman hawa jamaaa walifanya niwe bingwa #mapenzi maan ngoma zao zilintia moyo sana
Mmmmmh Chris Brown yupi huyo ...?Chris brown mwenyewe anachechemea saiz. Hizi si zile zama...
Tuna mziki wetu siku hizi.
Ni zaidi ya tatu na zote ni kaliMwaka huu wametoa tatu kama sijakosea kuna Hello walitoa january, better man walitoa march na dynamite july.
Yupo mkuu maana yule aliyeondoka ana marinda ambaye ni (Brian)waliobaki kuna mmoja hana (Mark) huyu aliolewaga kabisa but Nick, Shane na Kian wanayo.Asiye na marinda hayupo mkuu.
Wamebaki wanne. Ila bado me naona hawawezi imba kama zamani nyimbo inaingia haswa kunako moyo.
Kama soledad, fool again.
Embu kuwa serious mkuu.Chris brown mwenyewe anachechemea saiz. Hizi si zile zama...
Tuna mziki wetu siku hizi.
Hutaki!?Embu kuwa serious mkuu.