The Atheists Paradox

Yesu ni Mungu sio madai kijana. Ila Allah ni Mungu ndio madai ambayo kamwe huto weza lete aya ambayo ALLAH anasema MIMI ALLAH NI MUNGU.
Unamjua Allah ? Kwenye Biblia Allah inaandikwa hivi اللهُ
Sasa Soma hiyo Allah hapa,
Link Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Link 2. Genesis 1 :: Arabic/English Online Bible

Je umeona Allah / اللهُ ngapi hapo? Je umeona Jesus ngapi hapo? Jipongeze umefuta ujinga kidogo.Endelea kutafuta maarifa.

Upofu na ujinga unajionesha pale mtu anayejihisi ana elimu anapenda kejeli, dharau na matusi. Jipime kwa vigezo hivyo.
 

Unajua maana la ILAHA?
 

Nope, Allah is not THE FATHER OF JESUS. Is Allah of the Quran the Father? I know you won't answer me.
 
Yes, Jesus is God.
 
Umejipa kazi ya kututia katika kufuru lakini tuoneshe wapi Paulo kaandika kuwa Yesu ndie aliyeumba kila kitu?

Pia Yesu huyo huyo ndie aliyemuumba Mungu wake?
Nimeeleza kwa kirefu kuwa kama unataka kujifunza Uuungu waYesu huu ni wakati wa kuacha majigambo na maneno ya hovyo ili tujifunze pamoja,lakini naona hujanielewa....

Nimekuambia kuwa Uungu wa Yesu una ushahidi kwenye Bibia lakini baada ya kuuliza kwa nidhamu umeuliuza kikebehi ....

Mwishoni unauliza swali la kijinga sana,nimesema Yesu ndie aliumba kila kitu,halafu unakuja kuniuliza kama Yesu alimuumba Mungu utadhani Mungu ni kitu,au ndivyo mnavyoelewa huko kwenye hiyo dini yenu?

Ungekuwa unashida ya kujua ningekujulisha lakini haukpo tayari ....

Nakuacha na ujinga wako!
 
​Amen mtumishi wa Mungu.
 

Tatizo lako mtumishi anaandika na kuamini kwamba unayemwandikia atatafakari na kuelewa.
Muislam kutafakari ni dhambi ya mauti, yeye anaweza kukariri tu.
 
Naona umesha pagawa wewe na Majini ambayo ni ndugu zenu.
 
Huyo ni mtumishi wa Paulo.
Paulo mwenye Watu wengu Kuliko Allah, sasa hapo nani ni akbar. Maana Allah mwenye deen ya tokea enzi na enzi kwa madai yenu, apigwe ovateki na PAULO wa juzi juzi tu hapo. SASA HAPO NI DINI AU IMANI IPI INAKUA kwa kasi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…