Thank you so much Dear Ex

Kuanzia heading ya huu uzi "Thank you so much Dear Ex" na hitimisho "tuna mawasiliano mazuri tu na Ex wangu "M" na maisha yanaendelea"
Hapa ndugu yangu nadriki kusema wewe ndiye uliyepoteza kwenye hii game. Dame kaku beat ile mbaya. Mwenzio aliwahigi kurudi kwangu akisukuwa BMW na ana MASSION kali alijua nitachachawa.....baharia nilikomaa hata salamu yake sikupokea na sikuwahi kuipokea na akasema kwa kinywa chake sikutegemee kuwa ungekuwa solid kiwango cha kukubembeleza hivi bado unachomoa tu. Katika vitu vibaya kwangu ni kuchapiwa halafu baadae demu ajifanye mjanja kunirudia na nim accept....hata kuchat tu bila kula mzigo..... huo kwangu ni uboya na kukosa sifa konki za ubaharia.
 
TALLMAN12,
Hahah kosa ni lipi hapo sasa chief, kuwasiliana nae??? Maisha lazima yaendelee tu mkuu kwanini niweke kinyongo, by the way namshukuru kwa kunipa funzo la maisha.

let's meet at the top.
Cheers πŸ₯‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…