Thank you Jamii Forums and Members

Grand Canyon

JF-Expert Member
Jan 2, 2020
456
921
Nilinianza kutumia jamii forums mwaka 2012, na imenisaidia vitu vingi. Nilikuwa na tatizo la Laptop nikasaidiwa hapa kusolve tatizo hilo bila kwenya kwa fundi. Ili kutumia 0.freebasics.com nilikuwa natumia android emulator kwenye PC lakini ni nzito na inafanya pc iwe nzito sana. Juzi nimejua kuhusu "user agent swicher" sasa natumia freebasics bila emulator na iko vizuri sana.

Hata hapa nimepost kupitia freebasics kwa kutumia user agent switcher kwenye pc! Pia nimepata msaada kuhusu kuongeza vpn "addon" kwenye browser bila kuinstall app ya vpn ili kuaccess twitter nk. Thank you JF and its Members for your assistance.
 
Nilinianza kutumia jamii forums mwaka 2012, na imenisaidia vitu vingi. Nilikuwa na tatizo la Laptop nikasaidiwa hapa kusolve tatizo hilo bila kwenya kwa fundi. Ili kutumia 0.freebasics.com nilikuwa natumia android emulator kwenye PC lakini ni nzito na inafanya pc iwe nzito sana. Juzi nimejua kuhusu "user agent swicher" sasa natumia freebasics bila emulator na iko vizuri sana. Hata hapa nimepost kupitia freebasics kwa kutumia user agent switcher kwenye pc! Pia nimepata msaada kuhusu kuongeza vpn "addon" kwenye browser bila kuinstall app ya vpn ili kuaccess twitter nk. Thank you JF and its Members for your assistance.
Na mimi unisaidie namna ya kuhack database ya World Bank
 
J

Namna ya kutumia hiyo freebasics kwenye pc
Inategemea browser unayotumia. mimi nimeweza kwenye Opera mini na microsoft edge. iko kwenye settings lakini njia rahisi ingia google andika 'user switch agent extension for' weka browser unayotumia opera mini au chrome au firefox au edge
 
Nilinianza kutumia jamii forums mwaka 2012, na imenisaidia vitu vingi. Nilikuwa na tatizo la Laptop nikasaidiwa hapa kusolve tatizo hilo bila kwenya kwa fundi. Ili kutumia 0.freebasics.com nilikuwa natumia android emulator kwenye PC lakini ni nzito na inafanya pc iwe nzito sana. Juzi nimejua kuhusu "user agent swicher" sasa natumia freebasics bila emulator na iko vizuri sana.

Hata hapa nimepost kupitia freebasics kwa kutumia user agent switcher kwenye pc! Pia nimepata msaada kuhusu kuongeza vpn "addon" kwenye browser bila kuinstall app ya vpn ili kuaccess twitter nk. Thank you JF and its Members for your assistance.
Freebasic kumbe bado IPO?
 
Back
Top Bottom