idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,281
- 38,344
Mpira wa Afrika umejaa figisu bila miamala hauendi.
Juzi E Gine tumeshinda mbili kwa moja lakini ukiangalia penati ya Samata ilikuwa wazi kabisa Refa akatupotezea bila juhudi binafsi za wacheji huenda ingekuwa sare.
Jana na Libya tumenyimwa penati ya wazi kabisa halafu wao wamekuja kupewa penati ya mguuni mambo ya ajabu kabisa.
Ukiangalia mechi zote kwa jicho la tatu unaona kabisa Miamala imetumika dhidi yetu.
Refa wa kwanza alikuwa wa Burundi hapo Jirani tu ambao kila kitu wanategemea kwetu mlishindwa nini kukaa nae kabla?
Refa na Libya ni Mmalawi wote majirani mlishindwa nini kuweka mambo sawa?
Timu inacheza vizuri ila kamati ya ufundi imelala kabisa ni kama haipo.
Waarabu hawashindagi kihalali kuanzia ngazi ya vilabu hadi timu za Taifa, hata kama timu inakiwango kiasi gani lazima kamati za ufundi zihusike nje ya uwanja.
Kwa kweli tusipofuzu mwaka huu lawama zote Kwa TFF kwa uzembe wa wazi kabisa.
TFF tunahitaji point zote tisa pale Taifa, kila mmoja ashinde mechi zake kinyume na hapo mjiuzulu tu.!
Juzi E Gine tumeshinda mbili kwa moja lakini ukiangalia penati ya Samata ilikuwa wazi kabisa Refa akatupotezea bila juhudi binafsi za wacheji huenda ingekuwa sare.
Jana na Libya tumenyimwa penati ya wazi kabisa halafu wao wamekuja kupewa penati ya mguuni mambo ya ajabu kabisa.
Ukiangalia mechi zote kwa jicho la tatu unaona kabisa Miamala imetumika dhidi yetu.
Refa wa kwanza alikuwa wa Burundi hapo Jirani tu ambao kila kitu wanategemea kwetu mlishindwa nini kukaa nae kabla?
Refa na Libya ni Mmalawi wote majirani mlishindwa nini kuweka mambo sawa?
Timu inacheza vizuri ila kamati ya ufundi imelala kabisa ni kama haipo.
Waarabu hawashindagi kihalali kuanzia ngazi ya vilabu hadi timu za Taifa, hata kama timu inakiwango kiasi gani lazima kamati za ufundi zihusike nje ya uwanja.
Kwa kweli tusipofuzu mwaka huu lawama zote Kwa TFF kwa uzembe wa wazi kabisa.
TFF tunahitaji point zote tisa pale Taifa, kila mmoja ashinde mechi zake kinyume na hapo mjiuzulu tu.!