TFDA - Food Registration Officer Interview

TFDA - Food Registration Officer Interview

Mwanaharakati2013

Senior Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
170
Reaction score
15
Waungwana naomba kuuliza ambao wamepigiwa simu kwa ajili ya interview Taasisi ya Chakula na Dawa mjitokeze tupeane support
 
nilidhani wewe ni accountant pia

Hapana Mkuu, niliomba food registration officer... But jaribu kuchek na watu walioomba post hiyo maana nasikia hawajaita wote.. Mi nna rafiki zangu wawili tuliomba post moja hawajaitwa
 
Mmmm! Basi tayari wamenila mkasi maana nilijua wangenipigia na mimi leo but wapi!!! baadhi ya marafiki zangu wameitwa na mimi niliomba food regstration officer. Hapa ni kufunga mkanda kuangalia mawindo mengine.

Usikate tamaa Mkuu, huwenda bado wanaita... Mi pia kuna rafiki zangu wawili tuliomba post moja bado hawajapigiwa simu
 
Hivi interview ya Accountant ni lini tafadhali.
samahani nilikuwa kwenye daladala sikusikia vizuri kama ni Jmos ya ya tarehe 17 au ya tarehe 24
 
Interview ni tarehe 24/01 itafanyika DUCE mimi nimeitwa nafasi ya information and education officer wamepiga simu na sms wametuma
 
Mmmm! Basi tayari wamenila mkasi maana nilijua wangenipigia na mimi leo but wapi!!! baadhi ya marafiki zangu wameitwa na mimi niliomba food regstration officer. Hapa ni kufunga mkanda kuangalia mawindo mengine.

mkuu hapa walitaka watu walio sona course gani?
 
Back
Top Bottom