Siku ukija mood version ya kulipia ndio utajua ulikua unapoteza mdaTextra hii app ya massage iko vizuri sana unaweza kuipangilia vyovyote upendavyo na ikawa na mvuto zaidi kuliko hii app ya google massage imekaa kiloko sana nimeamua kuifutilia mbali
ila google kwakweli sijui wanawaza nini!!!yaani huwa najiuliza tatizo nini sielewi.
samsung alikuwa anatupunguzia machungu na one UI yake naona nayeye kaanza kupigwa pini naliona sms app lao pale na kulitoa kwenye simu ngumu san
Waliniletea huo ujumbe kwa chini kwamba nilipie au niruhusu ADS ili niendelee kutumia bure sikukubari chochote mpaka huo ujumbe ukatoka wenyewe sasa hivi nina mwezi ninaitumia bila shida yoyoteSiku ukija mood version ya kulipia ndio utajua ulikua unapoteza mda
Waliniletea huo ujumbe kwa chini kwamba nilipie au niruhusu ADS ili niendelee kutumia bure sikukubari chochote mpaka huo ujumbe ukatoka wenyewe sasa hivi nina mwezi ninaitumia bila shida yoyo
Mimi sasa naipenda. Yaani mimi napenda vitu ambavyo havina mambo mengi tena na sisi hivi ilivyonikubalia RCS ndo napenda zaidi sema watumiaji wa RCS wachacheila google kwakweli sijui wanawaza nini!!!yaani huwa najiuliza tatizo nini sielewi.
samsung alikuwa anatupunguzia machungu na one UI yake naona nayeye kaanza kupigwa pini naliona sms app lao pale na kulitoa kwenye simu ngumu sana.
Hujatumia truecaller bado ndio maana unaongea hivyo.Textra hii app ya massage iko vizuri sana unaweza kuipangilia vyovyote upendavyo na ikawa na mvuto zaidi kuliko hii app ya google massage imekaa kiloko sana nimeamua kuifutilia mbali
Hiyo yote ni sababu ya GoogleSio kweli unakuta unamiliki Samsung A73 alafu sehemu ya message inafanana kama ya tecno pop2
Umenisaidia nikawa najiuliza google toka lin wanafanya massage 😂Massage au message?
Hii inapatikanaje na ni sh ngapi kwa mwaka?Siku ukija mood version ya kulipia ndio utajua ulikua unapoteza mda
Hata Google anayo RCS sema wabongo wengi hawajajua na hawaitumii. Hiyo hiyo app ya simu ukienable rcs inafanya kazi kama iMessage, kama mtu akaenable rcs msg znaenda via internet na inakuwa na features zote za iMessage zile za typong, kutuma video picha voice note n.k. mm nimenable ila niwa tu wawili tu ndio nao wame enableKaribuni iOS, huhitaji kuwa na app ya message zaidi ya moja kwenye simu, iMessage ni jibu tosha.