RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 340
- 119
Salaam wakuu.
Mwishoni mwa mwaka jana chuo kikuu cha ardhi kilitangaza nafasi za kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikuwa ni tarehe 27/12/2020.
Naomba kama kuna waliofanikiwa kuitwa kwenye usaili/interview watufahamishe maana walisema only shortlisted candidates will be contacted.
Mwishoni mwa mwaka jana chuo kikuu cha ardhi kilitangaza nafasi za kazi na mwisho wa kutuma maombi ilikuwa ni tarehe 27/12/2020.
Naomba kama kuna waliofanikiwa kuitwa kwenye usaili/interview watufahamishe maana walisema only shortlisted candidates will be contacted.