Yule ustaadhi maarufu aliyejitolea kuhamasisha wafuasi wake KULIPA kisasi na kuua viongozi wa kikristo agosti mwaka jana. Sasa hajulikani aliko.
Taarifa nilizozipata hapa MWANZA zinaonyesha kwamba ustaadhi ILUNGA almaarufu SHEIKH ILUNGA hajulikani aliko. Wengi miongoni mwa watu niliozungumza nao hawaaamini kuwa yuko nje ya mkoa wa MWANZA. Wengi wao wanaamini atakuwa kajificha mahali ndani ya mkoa huo..
Hata hivyo taarifa ya AMIR Taifa - (kamati ya kuendeleza uislamu Tanzania) na Wafuasi wake inasema NI KWELI Ustaadhi Ilunga ANATAFUTWA NA POLISI lakini hajatoroka!... Wafuasi wake wanasema kwa sasa yuko INDIA kwa matibabu na polisi wamejulishwa..
Source: Mimi as interviewer na sms toka kwa AMIRI - Taifa..
Taarifa nilizozipata hapa MWANZA zinaonyesha kwamba ustaadhi ILUNGA almaarufu SHEIKH ILUNGA hajulikani aliko. Wengi miongoni mwa watu niliozungumza nao hawaaamini kuwa yuko nje ya mkoa wa MWANZA. Wengi wao wanaamini atakuwa kajificha mahali ndani ya mkoa huo..
Hata hivyo taarifa ya AMIR Taifa - (kamati ya kuendeleza uislamu Tanzania) na Wafuasi wake inasema NI KWELI Ustaadhi Ilunga ANATAFUTWA NA POLISI lakini hajatoroka!... Wafuasi wake wanasema kwa sasa yuko INDIA kwa matibabu na polisi wamejulishwa..
Source: Mimi as interviewer na sms toka kwa AMIRI - Taifa..