Waungwana poleni kwa mshituko uliotupata.
Kilichotokea ni kuwa TCAA, SUMATRA na wadau wengine walikuwa waafanya MAZOEZI kuona utayari wao wa kushughulikia matatizo ya ajali za ndege.
ILIKUWA NI MAZOEZI TU, HAKUNA AJALI YA KWELI ILIYOTOKEEA kwa mujibuw a taarifa ya TCAA ya hivi punde.
Tangu asubuhi zilipopatikana habari hizi nimekuwa nikiwasiliana na wafanyakazi wa TCAA na wao walikuwa hawajui kuwa ilikuwa ni ajali ya kupanga.
Kwa mujibu wa Taarifa ya mama Munyagi, Mkurugenzi wa TCAA, zoezi hilo ni kwa mujibuw a ICAO regulations.
Hivyo tutulize mioyo, hakuna ajali iliyotokea