Terrorist attack at Riverside, Nairobi-Kenya: All attackers eliminated and atleast 21 people are dead. Al-Shabab claimed responsibility for the attack

Tanzania
January 15, 2019
Johannesburg South Africa

Reaction from Tanzania following Kenya attack:

South African Broadcasting Corporation SABC cross the border now and go to Tanzania where according to this media giant, Al Shabab is enjoying some support in Tanzania


Source : SABC Digital News


Tanzania giving support to Al shaabab WTF is this , Mbona wanatuchafua jina . Hii itakuwa propaganda ya nchi fulani fulani.

Meanwhile social media imelipuka huko Kenya baada ya mtu anayesadikiwa kuwa ni gaidi kujichanganya na raia wa kawaida na kufanikiwa kutoroka.
 
FB_IMG_1547616105119.jpg
FB_IMG_1547616105119.jpg
 
hivi kwani wewe umeshaolewa? au bado unachumbiwa?
Hata wakati wa sodoma na gomora watu walijikinai kwa kula na kunywa, kuoa na kuolewa!
Una kila dalili za kufanana na watu wale!
Sasa unasodomwa! Unakiepukaje kiberiti cha ghadhabu ya Mungu?
 
January 15, 2019
Johannesburg South Africa

Reaction from Tanzania following Kenya attack:

South African Broadcasting Corporation SABC cross the border now and go to Tanzania where according to this media giant, Al Shabab is enjoying some support in Tanzania


Source : SABC Digital News

Hii sentensi 'Al shabab is enjoying some support in Tanzania' Si Kweli! Nonsense
 
Siri kubwa ya usalama wa Tanzania ni umbeya wetu. Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufuatilia maisha ya wenzetu kiasi kwamba ni ngumu kufanya mipango ya uovu bila hizo habari kufika mashushusu. Kwa maneno mengine hapo ulipo kuna majirani zako wanahabari zako ambazo unadhani ni siri.
Teeehbasi sawa tutazidi kua wambeyaaa
 
Kuwa na ADABU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na ADAMU NA IMANI ZA WATU WENGINE...nani nakwambiya yeyote anayeuwa wengine,,tena kwa MASLAHI YAKE BINAFSI. ,, ANAKWENDA PEPONI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani bro nimetaja imani ya mtu mimi?au wewe unaamin hiyo imani ina-exist?

Mimi nazungumzia imani moja ya kihuni huni hivi wanaamini kuuwa ndo kuiona pepo,wapumbavu sana hao jamaa siyo watu wazuri usithubutu wakukute wanaondoka na shingo yako.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Utakufa na usicho kijua.
Acha kuleta mihemko ya chama ktk suala la nchi. Wewe ukiona nchi inakushinda hama,
Mtuachie nchi yetu cz bado tupo tunao ipenda na kuiwazia mema.

Mm sijawahi ona watu wasio kuwa na akili kama hivi kutukana mahali ambapo ndipo ulipo zaliwa na kizaz chako kinaishi hapa.
Kama unaona mengine magumu rudi kwa Mungu omba kwa hekima na ufahamu, ukienda kwa mihemko hata zuri la nchi yako huto liona utabaki kunyooshea viongozi vidole tu, mwisho upate magonjwa ya moyo.

Mungu akusaidie, uipende nchi yako na kinywa chako kijifunze kubarik na sio kulaani sababu laana inaweza kukurudia pasipo kuelewa.
Kuna watu wanakesha kuombea nchi ww unaleta mihemko. Unafikiri kuna nchi perfect na viongoz perfect
Rudi nyuma kwa wazazi, au ktk ndoa wapo perfect?
Tulia tu usije kufa kwa magonjwa ukawa sadaka.
Siasa ni mchezo mchafu
Hilo jamaa lijinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
poleni majirani zetu wapendwa, niseme tu KUNA UMUHIMU wa KUJONGELEANA kwenye meza ya mazungumzo.
 
Siri kubwa ya usalama wa Tanzania ni umbeya wetu. Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufuatilia maisha ya wenzetu kiasi kwamba ni ngumu kufanya mipango ya uovu bila hizo habari kufika mashushusu. Kwa maneno mengine hapo ulipo kuna majirani zako wanahabari zako ambazo unadhani ni siri.
,N kweli mkuu wabongo kwa umbeya we are better than,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
,N kweli mkuu wabongo kwa umbeya we are better than,

Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali Watanzania tuwe wambeya kutoa taarifa kwenye vyombo vya Usalama ili nchi yetu na RAIA wake wawe salama zaidi,badala ya kutunza siri za uhalifu wakati zina madhara makubwa sana kama haya yaliyotokea Kenya jana.

Unayelaumu umbeya wa Watanzania kutoa taarifa karika vyombo Usalama kuwa ni wambeya hebu kaa chini na ufikiri zaidi halafu urudi tena jamvini.

Madhara ya ugaidi huwa hayachagui MTU,yeyote anaweza kudhurika,hata wewe mwenyewe unayeshabikia hili, ni kwa sababu hujui ulisemacho na hayajakukuta wewe,rafiki yako,ndugu yako,jamaa zako wa karibu n.k.

Tafakari kwa undani zaidi kuhusu comment yako hii kama ina Afya kwa nchi/Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndipo hapa ninapopenda askari wa hii nchi wanaonekana makamanda kwelikweli kwa mapichapicha field sasa wanarundikana sehemu moja kama kumbikumbi wametoka mabawa,huwa najiuliza hivi yangewakuta kama hapa bongo kule kibiti nadhani nchi nzima ingejaa makaburi,kwetu askari wanajisucrifice ili wengine wengi waishi Ila ndo hivyo kila ubaya wao mpaka njaa yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom