Mbwa Mpole
Member
- Jul 18, 2012
- 11
- 1
Wana JF nadhani mnakumbuka wakati balozi Ramdhani Omari Mapuri aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani na katibu mwenezi wa CCM aliposema Tendwa anaongea na kufanya mambo yake kama karani. Kwa lugha rahisi ni kama mtu aliyeishia darasa la saba. Maana hata digree ya sheria aliyonayo hamsadii.
Hivyo si CHADEMA tu, hata CCM wanajua Tendwa ni mkurupukaji na mropokaji. Kama huwa anafikiri, basi hufikiri baada ya kuongea. Tabia hii hufanya waandishi wa habari wampende kuuza magazeti ( Comic figure). Walioua ni polisi na wenyewe wamekiri kwa kumpeleka mahakamani mtu wao, yeye kabla ya uchunguzi au hata kuuliza unatishia kuifuta CHADEMA. Nadhani hakutumia akiri kabisaa. Kama angetumia akiri kabla ya kuongea, basi katika hali tete kama ile si zani kama angekurupuka na kutoa vitisho. Bahati mbaya huyu bwana nadhani hana hata washauri, kwani badala ya kutafuta ushauri yeye hupenda kuzungukwa na hobby yake tu (mabinti).
Mbowe alisema afadhari aongee na karani kuliko Tendwa. Ukitaka kujua Tendwa ni afadhari ya karani, hata ofisi yake anaiendesha kama kiosk. Tofauti ya ofisi yake na brief case political party ni moja tu, ofisi yake ina majengo iliyopewa na serikali. Ndio maana mwana JF alishauri ni wakati muafaka ofisi hii iwe na afisa habari, mimi naongeza apewe na watu wa kumshauri.
Hivyo si CHADEMA tu, hata CCM wanajua Tendwa ni mkurupukaji na mropokaji. Kama huwa anafikiri, basi hufikiri baada ya kuongea. Tabia hii hufanya waandishi wa habari wampende kuuza magazeti ( Comic figure). Walioua ni polisi na wenyewe wamekiri kwa kumpeleka mahakamani mtu wao, yeye kabla ya uchunguzi au hata kuuliza unatishia kuifuta CHADEMA. Nadhani hakutumia akiri kabisaa. Kama angetumia akiri kabla ya kuongea, basi katika hali tete kama ile si zani kama angekurupuka na kutoa vitisho. Bahati mbaya huyu bwana nadhani hana hata washauri, kwani badala ya kutafuta ushauri yeye hupenda kuzungukwa na hobby yake tu (mabinti).
Mbowe alisema afadhari aongee na karani kuliko Tendwa. Ukitaka kujua Tendwa ni afadhari ya karani, hata ofisi yake anaiendesha kama kiosk. Tofauti ya ofisi yake na brief case political party ni moja tu, ofisi yake ina majengo iliyopewa na serikali. Ndio maana mwana JF alishauri ni wakati muafaka ofisi hii iwe na afisa habari, mimi naongeza apewe na watu wa kumshauri.