ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,436
Najua wahusika wa barabara wanapita humu na viongozi tuliowachagua pia wanapita.
Hali ya barabara za Temeke ni mbaya sana kiasi kwamba kinasababisha foleni zisizokua za lazima.
1. Changombe Road, hii barabara ni moja ya barabara muhimu ya jiji, na inapitisha watu wengi wageni na wenyeji, cha kushangaza ni moja ya barabara mbovu inayofukiwa viraka kila mara na kuzidi kuharibika. Solution ni kuijenga upya tena kwa zege, eneo korofi kuliko lote ni kile kipande cha keko, leo tumetumia zaidi ya saa moja kupita kipande kile tuu
2. Mbozi road kipande kibovu kinachukua wiki tatu kukijenga huku barabara imefungwa, kipande hakizidi mita kumi, jiulizeni wale watu wa viwandani watafika vipi katika sehemu zao za kazi.
3. Barabara za mitaani zimegeuka mahandaki na parking za malori
Wahusika wa TEMEKE tubadilike.
Hali ya barabara za Temeke ni mbaya sana kiasi kwamba kinasababisha foleni zisizokua za lazima.
1. Changombe Road, hii barabara ni moja ya barabara muhimu ya jiji, na inapitisha watu wengi wageni na wenyeji, cha kushangaza ni moja ya barabara mbovu inayofukiwa viraka kila mara na kuzidi kuharibika. Solution ni kuijenga upya tena kwa zege, eneo korofi kuliko lote ni kile kipande cha keko, leo tumetumia zaidi ya saa moja kupita kipande kile tuu
2. Mbozi road kipande kibovu kinachukua wiki tatu kukijenga huku barabara imefungwa, kipande hakizidi mita kumi, jiulizeni wale watu wa viwandani watafika vipi katika sehemu zao za kazi.
3. Barabara za mitaani zimegeuka mahandaki na parking za malori
Wahusika wa TEMEKE tubadilike.