habari ndugu zanguni;
napenda niwafaham tabia za hawa ndugu zetu kidogo
kwani nilikuwa nampenz flan tukazinguana kwakuwa mi nilikuwa naharakat flan za shule akatafuta namna yakuniumiza akawa anatoka namchz wangu wakarbu akawa anamuhonga ile mbaya kusudi mchzi asiruke,basi ikawa hvyo nkirud likzo wanakuwa wote show off kbao niumie roho nakumsimulia mchz habar kibao et siwez mapenz,nkapuuzia
sasa bas juz hapa mi nkawa natoka zangu out namtoto flan wakitaa chao ambaye wanamrespect mno uzur,shule n.k
tatzo; tulipishana maeneo halaf ye akiwa raf hakuna mfano tukampa hi akauchuna na amenichukia vbaya mno tofaut na wakati hajaniona na mchumba wangu huyo
sasa naomba nijulishwe tatizo ninini hapo wakat ye anamchz wake!
napenda niwafaham tabia za hawa ndugu zetu kidogo
kwani nilikuwa nampenz flan tukazinguana kwakuwa mi nilikuwa naharakat flan za shule akatafuta namna yakuniumiza akawa anatoka namchz wangu wakarbu akawa anamuhonga ile mbaya kusudi mchzi asiruke,basi ikawa hvyo nkirud likzo wanakuwa wote show off kbao niumie roho nakumsimulia mchz habar kibao et siwez mapenz,nkapuuzia
sasa bas juz hapa mi nkawa natoka zangu out namtoto flan wakitaa chao ambaye wanamrespect mno uzur,shule n.k
tatzo; tulipishana maeneo halaf ye akiwa raf hakuna mfano tukampa hi akauchuna na amenichukia vbaya mno tofaut na wakati hajaniona na mchumba wangu huyo
sasa naomba nijulishwe tatizo ninini hapo wakat ye anamchz wake!