ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,378
- 118,797
Wakuu wa Tech naomba msaada kidogo.
Nimejaribu kupitia forums mbalimbali za habari za Tv Box kama vile Android TV box. Kuna maswali bado yananitatiza as sikupata clear cut answers.
1. Tofauti ya hizi tv boxes na iptv ni nini?
2. Najua ni lazima utumie internet ili ku-stream channels, je inaweza kutumia mb/gb ngapi kwa live match moja?
3. Mdau mmoja aliniambia ni lazima niwe na "pay account", hii nalipia ili nipate nini?
4. Kuna apps kama Kodi, Mobdro etc ambazo zinakuja na box, je hizo apps zinalipiwa au ni free kuzitumia?
5. Nimesoma pia kuwa sio vizuri, 'not recommended' kununua 'loaded box', ambayo ina kila kitu, wewe ni 'plug and play' tu. Sababu hasa ni nini?
6. Pia naomba kujua best tv boxes za android na bei zake kwa jiji la Das'lam.
Nimejaribu kupitia forums mbalimbali za habari za Tv Box kama vile Android TV box. Kuna maswali bado yananitatiza as sikupata clear cut answers.
1. Tofauti ya hizi tv boxes na iptv ni nini?
2. Najua ni lazima utumie internet ili ku-stream channels, je inaweza kutumia mb/gb ngapi kwa live match moja?
3. Mdau mmoja aliniambia ni lazima niwe na "pay account", hii nalipia ili nipate nini?
4. Kuna apps kama Kodi, Mobdro etc ambazo zinakuja na box, je hizo apps zinalipiwa au ni free kuzitumia?
5. Nimesoma pia kuwa sio vizuri, 'not recommended' kununua 'loaded box', ambayo ina kila kitu, wewe ni 'plug and play' tu. Sababu hasa ni nini?
6. Pia naomba kujua best tv boxes za android na bei zake kwa jiji la Das'lam.