Habari yetu wana jamvi (mughonile mwe bhakamu bhangu, twamasiku ming). Tusisumbukie lugha hiyo lugha niipendayo kinyakyusa nikijaribu kuwajulia hali.
Leo nimekuja na maada ningependa tuifanyie extraction za hatari sana.
Mpaka kufikia leo tumeweza kujionea teknolojia za kila aina na zingine zinatuzidi spidi tukitaka kwenda pamoja nazo
Mf. Iphone5, ipad. Ipod, macbook air, macbook pro, electronic cigarette, samsung gallaxy, sony z2, bugatte, umeme, internet, wireless services, whatsapp, bluetooth, whatsapp spy, super bluetooth hacker n.k.
Kwa teknolojia ya sasa nazan hata 1.2% ya vitu vyote cjavigusia. Swali ni hili hapa "kwa teknolojia zote unazozifaham sasa unazani baada ya miaka ishirini kutakua na teknolojia gani?"
Leo nimekuja na maada ningependa tuifanyie extraction za hatari sana.
Mpaka kufikia leo tumeweza kujionea teknolojia za kila aina na zingine zinatuzidi spidi tukitaka kwenda pamoja nazo
Mf. Iphone5, ipad. Ipod, macbook air, macbook pro, electronic cigarette, samsung gallaxy, sony z2, bugatte, umeme, internet, wireless services, whatsapp, bluetooth, whatsapp spy, super bluetooth hacker n.k.
Kwa teknolojia ya sasa nazan hata 1.2% ya vitu vyote cjavigusia. Swali ni hili hapa "kwa teknolojia zote unazozifaham sasa unazani baada ya miaka ishirini kutakua na teknolojia gani?"