Habari zenu ndugu!
Ninashida ktk simu yangu, kwa kifupi imekufa baada ya kuflash na file ambalo liko chini ya uwezo wake, nina tecno y3 plus, nilichukua details zake kabla sija-flash, ila baada ya kuflash ndio nimegundua file nililoweka ni la zamani.
Nililoweka ni: Y3_PLUS-H721-A2-KK-TZ-TIGO-LOCK-20151107
Lililokuwepo ni: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2
sikutambua kuwa maelezo ya mwisho wa file ni mwaka, mwezi na tarehe ya file, nimegundua hilo baada ya kufanya utafiti zaidi, naomba msaada niweze kurudisha hilo file.
Hivyo wana-jamii-forum, naombeni msaada wenu niweze kupata file lake sahihi ama updated file.
Ninashida ktk simu yangu, kwa kifupi imekufa baada ya kuflash na file ambalo liko chini ya uwezo wake, nina tecno y3 plus, nilichukua details zake kabla sija-flash, ila baada ya kuflash ndio nimegundua file nililoweka ni la zamani.
Nililoweka ni: Y3_PLUS-H721-A2-KK-TZ-TIGO-LOCK-20151107
Lililokuwepo ni: Y3_PLUS-H721A2-KK-TZTG-LC-161010V2
sikutambua kuwa maelezo ya mwisho wa file ni mwaka, mwezi na tarehe ya file, nimegundua hilo baada ya kufanya utafiti zaidi, naomba msaada niweze kurudisha hilo file.
Hivyo wana-jamii-forum, naombeni msaada wenu niweze kupata file lake sahihi ama updated file.