Habari..
Simu ya tecno W5 ( sio W5 lite) inauzwa kwa laki 200,000/-. Imetumika kwa wiki 3 tu.
》sababu ya kuuza ni emergency tu imetokea..
》 Bei inaeza pungua.
》Sharti uwe mkazi wa mwanza maana ni mkono kwa mkono..
》ina Uwezo wa 4g na camera yake ni nzuri pia. Bila kusahau fingerprint..